Pedeshee kiraka
Member
- Jan 7, 2012
- 61
- 7
Ni hivi mimi ni kijana mwenye miaka 28, nilipata mchumba wangu ambaye mwanzoni tulikuwa tunaishi vizuri baadhi ya ndugu zangu wanamfahamu. Lakini yapata karibu miezi minne hivi mahusiano yetu yamepungua kuna rafiki yangu huyu mwanamke alijipeleka mwenyewe isitoshe kuna jamaa mwingine anatoka naye nimefuatilia nikagundua ni kweli kwa kudhibitisha kwamba wana mahusiano na huyo jamaa . Sasa imefikia hata ukimwita hataki kuja lingine aliwahi kuniambia mimi simmiliki na cjamtolea mahari nimefikiria sana hilo suala lakini naombeni mnipe ushauri