Naombeni ushaur ndugu zangu

Msumi 08

New Member
Joined
Apr 29, 2017
Posts
3
Reaction score
2
Nimemaliza masomo yangu nasomea coz ya science and laboratory technology kwa ngazi ya diploma. ...
Pia wazazi wabataka niache niamie nyngine nijaanze nayo upya coz ya clinical officer. .......
Sasa mm nifanyaje niendelee na hii yangu au niwafyate wazaz
 
Ujui kuandika afu picha ya nn,.kuna kitu unatafta...!?
 
Duh! Sasa hivi hata usomee PHD ajira ni za shida... Kupata zali haitegemei sana ulichosomea, ni bahati tu... Ona BASHITE, japo hana vyeti ndio boss wa jiji hili... So we somea chochote tu, ila ni vizuri ukasomea kitu ambacho itakuwa rahisi hata kujiajiri mfano kozi za ufundi, au nenda pale chuo cha maji karibu na UD, ukasomee kozi za kutibu maji ambazo zinaendana na hiyo kozi ya lab technician...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…