frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,341
Wakuu salama?
Naombeni utaratibu wa kuomba kumlikishwa au kuendesha stations tajwa juu...
Kwani TBC2 muda wote inapiga bongo flavour tuu tena zile local kweli, aina vipind kabisa, watangazaji, matangazo na zaidi mara moja moja ujiunga na mpira...inauma sana TV ya taifa inamaliza kodi bure kabisa.
TBC international radio yenyewe muda upiga slow songs yan ni shideee.
Nimechoka nipeni mimi niziendeshe pls, au nipe utaratibu wa kuomba.
Taifa lina mambo mengi ya msing sana wanashindwa kutengeneza vipindi vywa kijamii, uchumi n.k kwa TV ya taifa kweli? inauma sanaaaaa.
Naombeni utaratibu wa kuomba kumlikishwa au kuendesha stations tajwa juu...
Kwani TBC2 muda wote inapiga bongo flavour tuu tena zile local kweli, aina vipind kabisa, watangazaji, matangazo na zaidi mara moja moja ujiunga na mpira...inauma sana TV ya taifa inamaliza kodi bure kabisa.
TBC international radio yenyewe muda upiga slow songs yan ni shideee.
Nimechoka nipeni mimi niziendeshe pls, au nipe utaratibu wa kuomba.
Taifa lina mambo mengi ya msing sana wanashindwa kutengeneza vipindi vywa kijamii, uchumi n.k kwa TV ya taifa kweli? inauma sanaaaaa.