Naombeni orodha ya Channel za king'amuzi cha Azam

Crimea

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
25,840
35,928
Mmechoka na huu upuuzi wa startimes, nataka kubadili king'amuzi.

Je, Azam inachanel ngapi? Je, e. Tv imo?
 
Inazo nyingi saana....pia hizo ulizo uliza zipo.Karibu Azamtv kwa kweli ni the best baada ya DSTV.Kuna tetesi Tido analeta vipindi vingi vya kimataifa very soon.
 
Ndo maana mnafeli mtihani nyie.
Swali limezungumzia apatiwe list ya channels, wengine mnaanza kuongelea mada tofauti. Mkojeeeee???
 
Hiyo E.tv ina nini?imeondolewa startimes pia?
manake azam imeondolewa wiki iliyopita
Mkuu wangu hii chaneli naipenda sana... Naomba tu kijilishwa kam imo... Alafu pia kama chanel ya mocie za action
 
Mkuu wangu hii chaneli naipenda sana... Naomba tu kijilishwa kam imo... Alafu pia kama chanel ya mocie za action

Nimekijibu azam imeondolewa wiki iliyopita ilikuwemo
na startimes pia ilikuwemo je na huko imeondolewa?
 
hawa majamaa azamtv siwaelewi kbsa inamana chanel zao ya azam1 na azam2 syo local chanel?mbona wamenikatia bada ya kuchelewesha kuwalipa ila wameacha chanel nyngne za home km itv startv nk
 
Kwanini hakuna channel hata moja inayoonesha UEFA.. Hata ukilipia kifurushi cha 25000 plus azam sports HD 15000.. Bado hutaona chochote.. Wanajigamba kumbe wababaishaji..
 
Kwanini hakuna channel hata moja inayoonesha UEFA.. Hata ukilipia kifurushi cha 25000 plus azam sports HD 15000.. Bado hutaona chochote.. Wanajigamba kumbe wababaishaji..

startimes kuna uefa?
 
Azam akifanikwa kuweka EPL kwa sisi wapenzi wa Mpira wa Uingereza, atakuwa kamaliza kazi kabisa. So far, not bad!
 
Azam akifanikwa kuweka EPL kwa sisi wapenzi wa Mpira wa Uingereza, atakuwa kamaliza kazi kabisa. So far, not bad!

Hawana huo ubavu
CHAN tu inawashinda
CECAFA tu inawashinda
CAF champions league tu inawashinda

watawawekea ndondo cup tu kila mwaka
hata la liga Startimes wakiamua kuwapora wanawapora
wabahili azam na wanajali wahindi zaidi ambao hawafiki laki mbili
startimes ni better hasa ile ya dish...
 
Back
Top Bottom