Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
Hata hi tu
sweetlady shosti ushafika huku? kadogoo cjui kama ananyonya sawasawa!
nimekupm umeiona??
sweetlady shosti ushafika huku? kadogoo cjui kama ananyonya sawasawa!
sweetlady nimekufowardia umeuona muandiko wake sasa!?? kama kiarabu tu, hata sijaelewa! muarobaini hebu plz niPM tena?Hahahaha mie sijam PM
vile anajiita Muarubaini lol.....akikujibu nifowadie nione kama ana mwandiko mzuri ....sawa cacico?
sweetlady Shemeji yangu kazi anayo, lakini raha kusaidiana! hakuna udictator.Hehehehe.....kadogoo nimeshinda nae mchana kutwa sahizi ni zamu ya babake na mimi nijinafasi kwa raha zangu!
Hahahahaha ......mwandiko gani kama mtoto wa chekechea lol.....una moyo wa ziada cacico na bado unaomba akuPM tena?.....ila kiukweli huyu Muarubaini amenichekesha sana....eti 'naombeni muni pm'......jf kuna watu wana vituko cacico lolsweetlady nimekufowardia umeuona muandiko wake sasa!?? kama kiarabu tu, hata sijaelewa! muarobaini hebu plz niPM tena?
@cacico si wajua mtoto anahitaji malezi ya baba na mama......shemejio wala hana hiyana ila naona unataka kumfanya aanze kibri.....ole wako.sweetlady Shemeji yangu kazi anayo, lakini raha kusaidiana! hakuna udictator.
haya, ngoja wadanganyane huko. wakitokea wasalimuFixed Point huyu atakuwa yuko busy na cacico manake nae kapotea ghafla.