Mpwidu
Senior Member
- Apr 3, 2018
- 111
- 117
JF habari zenu,
nimeamka asubuhi nimejikuta na hii hali kidaka tonge kimeongezeka urefu mpaka muda mwingine kinakuja nigusa katika ulimi. Anayefahamu hili naomba kupatiwa muongozo na msaada wa matibabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
nimeamka asubuhi nimejikuta na hii hali kidaka tonge kimeongezeka urefu mpaka muda mwingine kinakuja nigusa katika ulimi. Anayefahamu hili naomba kupatiwa muongozo na msaada wa matibabu.
Sent using Jamii Forums mobile app