NAOMBENI MSAADA WENU WANA JF.

NAOMBENI MSAADA WENU WANA JF.

Katika maelezo yako hapo sijaona hata sehemu umesema ulimpeleka kanisani akaombewe zaidi ni kwa waganga ,mbona huwa mnakimbilia waganga wakati makanisa yapo watu wanaombewa wanapona....
 
Yah upo sahihi Mkuu, ni kweli Bwana yetu Yesu Kristo wa nazareti anaweza kumponya huyo dada, kikubwa ni imani kwa tu.

Lakini umeniacha na swali Mkuu, nawaza tu..."ni kivipi mtu aliyechanganyikiwa na akili, akaweza kuokoka?!!.
Si mpaka aombewe akae sawa na yeye atamkiri yesu, kila jambo lina jibu
 
Katika maelezo yako hapo sijaona hata sehemu umesema ulimpeleka kanisani akaombewe zaidi ni kwa waganga ,mbona huwa mnakimbilia waganga wakati makanisa yapo watu wanaombewa wanapona....
Ni kweli nimemesema waganga kama moja ya vitu vilivtotugharimu sana. Maombi tumehudhuria lakini gharama za kifedha hazikuhusika sana. Ndio mahangaiko wakati wa shida.
 
Back
Top Bottom