Habari zenu jamani. Mimi ni mtanzania nilieamua kuja kufanya kazi huku Oman kutokana na ugumu wa maisha. Ila sasa nimeamua nirudi nyumbani kutokana na maumivu makali ya mgongo yatokanayo na kazi nyingi nifanyazo.
Hivyo nikaomba kurudi nyumbani Tanzania, wamenikubalia lakini wanataka nilipe gharama zao ambazo ni milion moja pia nijilipie nauli.
Kwa kweli watanzania wenzangu mimi sina uwezo huo, ningekua nao nisingekua huku leo. Naomba tu wana jamii wenzangu mwenye kuguswa na hili anisaidie niweze kurudi nyumbani, sina cha kuwalipa zaidi ya asante tu, naamin na Mungu atawabariki sana.
Naombeni msaada wenu. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu na Mungu awabariki. Asanteni.
Hivyo nikaomba kurudi nyumbani Tanzania, wamenikubalia lakini wanataka nilipe gharama zao ambazo ni milion moja pia nijilipie nauli.
Kwa kweli watanzania wenzangu mimi sina uwezo huo, ningekua nao nisingekua huku leo. Naomba tu wana jamii wenzangu mwenye kuguswa na hili anisaidie niweze kurudi nyumbani, sina cha kuwalipa zaidi ya asante tu, naamin na Mungu atawabariki sana.
Naombeni msaada wenu. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu na Mungu awabariki. Asanteni.