LD: Cheers; thread imekaa vema na big up sana kuleta issue hii:
1. Elimu si Kigezo cha Ndoa wala mapenzi. Mke wangu alikuwa na Diploma wakati na muoa wakati huo mimi nikiwa na Diploma kadhaa; na Degree kadhaa. what i know naye hakuweza kumanage Biashara zote nilizomwanzishia au za familia nilizomkabidhi. So, nilichofanya, kikampelekea shule, kabiga Advance Diploma na sasa anapiga degree na akili yake imekomaa. Tunaenda sambamba katika mambo mengi ingawa si kwa level moja. Ninayo mifano mingine kadhaa kama hii. So, the guy was wrong.
2. Hili nawezekana na huyu Bwana ndiyo ilimpaswa kufanya. inawezekana labda mapenzi ya Mr yako zaidi kwa nyumba ndogo hivyo nyumba kubwa haina priority. By the way, huyu Bwana ana watoto na wanawake hao wote?
3. Kila inapowezekana muoe mtu ambaye mnalingana interest za maisha, na upeo wa kufikiri. mambo kama kufanana dini na tamaduni pia yanasaidia ingawa si sana. Kama mapenzi ni makubwa, factors hizo hazina umuhimu kwani mengine yote yanajengwa juu ya mapenzi. Shida yenu wanadamu, wengi mapenzi yanapungua with time na kubaki mazoea. katika stage hii kufanana upeo, akili na interest inakuwa ni kitu pekee cha kuzidi kuwaweka karibu na hivyo mnakuwa marafiki pia.
4. Anafanya makosa kijamii na kidini. Ilifaa kabisa amuendelezea Mamaa na pia kujenga zaidi mapenzi kwake na kumsaidia kwa kutumia mbinu mbalimbali. Kama nyumba ndogo ina akili ya kibiashara bado angwezeka kupewa kazi lakini chini ya uangalizi wa wote ili kuhakikisha mpango wa kando haufurukuti. Je huyu Mama, naye alifanya jitihada yoyote ya kutaka kujiendeleza?
Huyu mama mwenye nyumba afanye yafuatayo:
1. Amweleze mumewe anafyofanya si vema na haikubaliki
2. asposikia amuitie vikao vya wazazi au Machungaji
3. Afanye jitihada ya kujiendeleza kielemi na kujifunza ujasiliamali, hakuna kisichowezekana.
4. Ale sahani moja na Mr na kuhakikisha kuwa anatumia mbinu muafaka za medani ya Mapenzi kumrudisha mumewe ampende kama zamani.
Allien.
LD dada yangu yaani NIMEUMIA kweli yaani nimeisi kama vile ni mama yangu anafanyiwa hivyo hata hivyo huyo mama bado hajachelewa kuna vyuo vingi vya ujasilia mali au vitu vingi vya kina mama vya kujifunza mbinu mbalimbali za maisha anaweza kuungana nao halafu ule ujuzi atakao upata pale akautumia pia ktk maswala yake binafsi ila asikose sana furaha mwambie yote hayo ni maisha na badala yake haji wajibishe ataona maisha yana kwenda smothly mwambie namtakia kila la kheri ktk maisha mapya atakayo anza baada ya kumpatia ushauri
nashukuru sana LD kwa mchango wako yaani ulikuwa umetulia na yule dada ameisha mkubalia baba yake kuhuswala la ndoa ya mama wa kambo
mwanamke mwenye akili timau lazima awe na sifa hizi
awe na akili timamu
awe na mawazo chanya
awe anamchalleange mumewe
ajue kutnza familia
ampende mumewe
huyu ni mama wa ndani ni mjinga sana na hata kama ni mimi ningeoa mke mwingine tena bila kificho
Thanks Edson, ila kuna swali moja naomba nikuulize,
Haiwezekani ukamsaidi huyo mke wa jinsi hiyo akafanafana na vile unavyotaka??
kwa jinsi ulivyoeleza huyu mama ana tatizo kubwa juu ya backgraound yake...hasa familia aliyotoka...siku hizi kina mama wako bize unamkuta mama yuko bize na kukopa sakosi ili walau akjikeep bize...
sasa namna ya kumsaidia huyu mama ni kufanyya ''total metanoia'' kwenye akili na ndani kabisa ya nafsi yake ..sio swala la kuamka asubuhi na kumwambia badilika......kwa jinsi nilivyoelewa ni kuwa mumewe anampenda sana ila his choice didnt work out the way he thouth it would be...... ndo maana ameamua kumwacha akae hapo home na huyo mwingine (plan B) amsaidie mumewe kuendesha familia
Duh Edson taratibu bana........LD hajasema kama huyu mama mwenye nyumba hana sifa hizo ulizotaja hebu mspee kidogo pengine mazingira yanamnyima kuekisesaizi hayo yotemwanamke mwenye akili timau lazima awe na sifa hizi
awe na akili timamu
awe na mawazo chanya
awe anamchalleange mumewe
ajue kutnza familia
ampende mumewe
huyu ni mama wa ndani ni mjinga sana na hata kama ni mimi ningeoa mke mwingine tena bila kificho
dada yangu LD ngoja nikwambie kitu dada..... kulingana na hii habari yako huyo baba atakuwa amejitahid sana kumbadilisha mkewe tatizo lakini mama habadiliki..... hii moja
huyo baba alichooona ni kuwa kwa kuwa wakati wa uchumba hakuona dosari kama hii leo akiwa ndani ya ndoa ameamua kumwacha na huyo mama hapo ili awe uthibitisho kwa jamii kuwa baba flna ameoa mke wa ndoa flani... lakini jamaa hayupo kabisa na hii imechangiwa na mama mwenyewe maana mama habadiliki..... hii mbili
uzee wa huyo jamaa unaweza kuwa wa manung'uniko kwa chaguo alilo nalo...ndo maana ilio mambo yake yaende amepata mtu mwingeni wa kumshauri na katika kushauriana penzi limechipua......
kingine nikwambie dada ...mkiwa kanisani then padre/mchungaji akasema ninyi ni mwili mmoja... huo mwili mmoja huwa haupatikan siku ya kufunga ndoa dada huwan ni process ya mda mrefu na hii inatokana na mambo haya yafuatayo:
mawasiliano ndani ya nyumba
jinsi mnavyopanga mipango yenu ya maisha na familia
mambo yenu ya chumbani(malovedavi) mnavyofanya na usafi wa miili yenu
na mengine mengi
sasa hapo katikati kunaweza kutokea lolote na kama mmoja habadiliki na hataki kubadilika ule usemi eti ninyi ni mwili mmoja huwa unasepa
na mwisho matoke yake ni kama haya
1.Je huyu baba alikosea kumuoa mke ambaye hana kiwango cha elimu zaidi ya
elimu ya msingi??
2.Je kwa nini huyu baba asimwendeleze huyu mama/mke wake kielimu
kidogo ili aweze kuchangamsha akili kidogo?
3. Je ni vizuri mtu kuoa/kuolewa na mtu ambaye walau akili zenu zinaendena katika utendaji wa mambo hasa ukizingatia mipango na maono yako ya maisha?
4. Je huyu baba anafanya makosa kumfanya mpango wake wa kando
mshauri wa mipango yake ya maendeleo zaidi ya mke wake?
Mwisho: Unamshauri nini huyu mama mwenye nyumba, ili aweze kuishi kwa furaha na amani katika ndoa yake?
Mbarikiwe!!!