Naombeni msaada wana jf (mobile spy)

Naombeni msaada wana jf (mobile spy)

WAKUNJOMBE

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
622
Reaction score
644
Kuna dada wa umri wa miaka 22, yupo Dar mi nipo Arusha, huyu binti anajua kila kitu ninacho kifanya kwenye line zangu za simu.

Nina line tatu, Voda, Tigo na Airtell, anapata sms zangu zote yaani ziingiazo na zitokazo,anajua calls zangu zote nipigapo na nipokeapo simU, anajua route zangu zote yaani kila nilipo anajua.

Mfano jana jpili tr 14.04.2013 kanitumia sms zote nilizo tuma na kupoke,akanitajia sehem zote nilizotembelea na mda niliotumia.

Anajua passward zangu zote ile ya JF, Facebook,Yahoo,Gmail na Ovi, na kila nikichange passward anajua na ananitumia new pass, mfano tr 12/04/2013 nilimfuma akitumia my FB accout alipost baadhi ya picha, nilichokifanya nikabadili pass ward,baada ya mda aka ni sms kwenye airtell sms ilikuwa hivi (hahahahahahah umechange passward from...... to...chezea career ww), nikaishiwa nguvu.

Nilijalibu kumcall nikamuuliza kwa nini unafanya hivyo(yaani kuspy maisha yangu) alinambia hataki dada yake aumezwe na kimapenzi, alisema akitaka aache kunifutilia basi niachane na .....(akataja majina ya wasichana wawili)

Nikamwambia mbona hao sio wapenzi kwangu, akanitajia siku nilizo sex nao mahali na mda na nikweli.

Huyu dada namjua kwa jina,napicha zake nilizo onyeshwa na dada ake ambaye ndio my fiance.

DIVECE ANAZO TUMIA

Ana smart phone tatu

Samsung galaxy S3,blackbell na DORADO,

Nilicho gundua hiyo DORADO ndio inahiyo program anayotumia kunitrace

Baada ya upelelezi wa haraka haraka nigandua si msichina aliye tulia ..nikawajua baadhi ya ma boy zake ,,

Mmoja yupo ikulu ya JK(afisa usalama) na mwingine yupo ubalozi wa Misri Tanzania nawajua hadi kwa majina hao watu.
so kati ya hao mmoja ndio kampa hiyo DORADO na akamfundisha jinsi ya kuspy anybody.

OMBI

Naomba kwa yeyote mwanye idea anipe ili niepukane naye.
 
Ndio maana serekali inatukamata!.
ngoja wanao jua waje kukueleza.
 
Nadhani hii ingepelekwa kuleee kwenye lile jukwaa la wataalam wa "video ya rwekatale", huko utapata msaada unaouhitaji.
 
Du kuanzia leo sitakaa nimwamini m2 kumbe ikulu si mahali patakatifu tena?
 
Dah!sio maisha hayo!achana na dadake kama vipi amtaftie yeye mwanaume msafi watakustress tu!sio maisha hayo mkuu!
 
njia ni mnili tu...
1. Uwe mwaminifu kwa dada yake
2. Au umwage dada yake
 
Kuna program fulan vjana wa K/koo wanayo walikuwa wanauza 2500 kwa tigo pesa ukituma hiyo pesa wanakupa password then unapofanya instalation inadai password ukiweka inafunguka apo una uwezo wa kupata kila kitu cha mtu kwa kuweka namba yake ya simu,email yake inakupa kila ukitakacho hii wanaipenda sana watu walio ktk mahusiano kwani ina kila ukitakacho. Nlidownload programm ikanidai password nlikuwa sijailipia kwa tigo pesa ila nkawaza nkajua ntajipa shida mwenyee nkapotezea. Ngoja ntafute link yake then ntakupa ucheki nayo! Pole sana ndio teknolojia hiyo
 
remove all installed softwares/applications, format simu, au badilisha handset, na kama unakutana naye huyo dada usimruhsu ashike hiyo simu yako (baada ya kuformat/handset mpya) hata kwa sekunde!
 
Mkuu unahangaika nini... Mpige chini tu
 
remove all installed softwares/applications, format simu, au badilisha handset, na kama unakutana naye huyo dada usimruhsu ashike hiyo simu yako (baada ya kuformat/handset mpya) hata kwa sekunde!

mkuu aitasaidia k2 mana huyo mdada anatumia no za huyo shemeji yake kumtress software kainstall kwenye cm yake mwenyewe
 
remove all installed softwares/applications, format simu, au badilisha handset, na kama unakutana naye huyo dada usimruhsu ashike hiyo simu yako (baada ya kuformat/handset mpya) hata kwa sekunde!

This is exactly what needs to be done. Vilevile baada ya kununua handset mpya au kuondoa tracking application unaweza kuweka application nyingine ya kukujulisha kama kuna program mpya imekuwa installed au unaweza pia ku-implement device administration application/rules ili kuruhusu different levels of access with the related device. Hata kama huyo dada akipata simu yako ili aweke hiyo tracking application ni lazima awe na Admin access ya kumruhusu ku-install application(s)
 
Kuna program fulan vjana wa K/koo wanayo walikuwa wanauza 2500 kwa tigo pesa ukituma hiyo pesa wanakupa password then unapofanya instalation inadai password ukiweka inafunguka apo una uwezo wa kupata kila kitu cha mtu kwa kuweka namba yake ya simu,email yake inakupa kila ukitakacho hii wanaipenda sana watu walio ktk mahusiano kwani ina kila ukitakacho. Nlidownload programm ikanidai password nlikuwa sijailipia kwa tigo pesa ila nkawaza nkajua ntajipa shida mwenyee nkapotezea. Ngoja ntafute link yake then ntakupa ucheki nayo! Pole sana ndio teknolojia hiyo


mkuu upo sawa..kwasababu leo kunafriend wake nimeongea nae nkambana anielezee jinsi hiyo program inavyo fanya kazi

kanambia hivi....alie instal progam ni mshikaji wa ubalozi wa misri na yule jamaa wake wa ikulu alimuunganisha na vijana wa tigo,voda na airtell.so ananitrack through server za makampuni ya sim.
nikamuuliza ili asinitrac nifanyaje.. kanambia either nizime sim nakutoa betry au ninunue sim mpya(isiyo na uwezo wa internet) na line mpya.
pia kanambia hata nikicheza games kwa sim yangu yeye kule anajua..mi natumia sasung galaxy note,nokia c3 na nokia c6-1.

pia kanambia kunawatu saba ni viongozi anawatrack every day...

akasema ubya wa hiyo program nikuwa sometime inasendi sms au call au mail hata za watu asio wajua yaani inawork kama facebook pale unapopata msg au picha za marafiki wa riki yako(friends of friend)

so leo nimenunua kitochi na line mpya...nawait kama ataukuwa bado anauwezo wakuniona kwasababu friend wake kanambia anaweza pia kujua namba za sim za watu nilio kaa nao karibu....nikweli koz kunasiku nilikaa na washikaji pale hongera bar dar...alinitajia namba za frnd ...
nawishi nimshitaki but namwogopa huyo jamaa wa usalama na wa ubalozi wa misri wanaweza nipoteza coz wanavujisha siri za ndani....na pia kama mjuavyo usalama wa taifa kunamakundi so hakujatulia....
 
Back
Top Bottom