Heshima kwenu wakuu.Mimi ni kijana wa kiume na nina miaka 30.
Katika maisha yangu nilipitia changamoto nyingi za mapenzi,nilishawahi kudate na mdada fulani lakini aliniacha sababu sikua msomi mwingine alinisaliti live kitu ambacho kiliniuma Sana.
Ni hivi wakuu kutokana na changamoto nilizopitia nikawa mtu wa kugegeda na kusepa tu.Sasa wakati nipo chuo Kuna mdada nilimtongoza lakini alinikatalia ila sikukata tamaa nilikomaa naye lakini hola.siku moja aliniambia hapendi kunidanganya kwani ana mtu wake tayari lazima aseme ukweli.Nilifikiri utani nikawa naendelea kumtext hakawa hajibu kabisa niliacha kumsumbua.
Mimi nilimaliza chuo na kumuacha anaendelea sababu alikua mwaka wa kwanza wakati mimi mwaka wa tatu.kutokana na utundu wangu nilipomaliza tu nilipata tempo na baada ya mwaka 1 nikabahatika kuajiriwa serikalini.Sasa Yule dada kanitafuta na ameniambia kwa Sasa yupo tayari kuwa nami awali nilijua njaa tu za chuo Kuna siku katika kuchat chat nikamkaribisha chakula kwa njia ya simu akashukuru baadae akaniambia yeye kapiga pasi ndefu Sana nikamwambia pole later akanijibu Kama nimeguswa nimsaidie hapo nikafunguka nikamwambia mimi siwezi kumuhudumia kwa sababu sijui huko chuoni yupo na nani na hatujui future yetu kifupi mimi nina malengo na maisha yangu na sipendi ujinga ujinga wa chuo(Binafsi Sina roho mbaya ila nilimjibu hivyo kwa sababu wadau mliopitia chuo mtanielewa Jinsi uongo uongo na mapenzi yalivyo chuoni na ukweli nina malengo yangu ya kununua kiwanja)
Sasa huyu mdada tumekua tukiendelea kuwasiliana ila Jana nilimwambia kwanini unapoteza mda wakati unajua Mimi ni Muislam na wewe mkiristo akajibu suala hilo atakuja likizo tuliongee ana kwa ana na yupo seriously na maisha.
Mdada ni natural black hanaga swaga za make up na kuvaa mawigi,mpare ,mluther,anamalizia degree yake mwaka huu.
Mimi ni kiziwi japo si muhimu kusema hivyo, handsome boy,elimu yangu degree,Mpogoro, muislam.
Je,ni kweli wapare hawaridhiki na kweli wapare kisima Cha Kijiji maana watu wanaongea ongea Sana mtandaoni kuhusu wapare?
Je, inawezekana mwanamke akawa na long plans amei-set maana kutokana na hali yangu naogopa labda anataka kujishikiza tu?
Je,ni kweli wapare wanaua waume zao baada ya kutajirika?
Ni hayo tu wakuu.
NB:Natamani kutulia na kua na familia Sasa lakini tatizo wanawake jaman.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika maisha yangu nilipitia changamoto nyingi za mapenzi,nilishawahi kudate na mdada fulani lakini aliniacha sababu sikua msomi mwingine alinisaliti live kitu ambacho kiliniuma Sana.
Ni hivi wakuu kutokana na changamoto nilizopitia nikawa mtu wa kugegeda na kusepa tu.Sasa wakati nipo chuo Kuna mdada nilimtongoza lakini alinikatalia ila sikukata tamaa nilikomaa naye lakini hola.siku moja aliniambia hapendi kunidanganya kwani ana mtu wake tayari lazima aseme ukweli.Nilifikiri utani nikawa naendelea kumtext hakawa hajibu kabisa niliacha kumsumbua.
Mimi nilimaliza chuo na kumuacha anaendelea sababu alikua mwaka wa kwanza wakati mimi mwaka wa tatu.kutokana na utundu wangu nilipomaliza tu nilipata tempo na baada ya mwaka 1 nikabahatika kuajiriwa serikalini.Sasa Yule dada kanitafuta na ameniambia kwa Sasa yupo tayari kuwa nami awali nilijua njaa tu za chuo Kuna siku katika kuchat chat nikamkaribisha chakula kwa njia ya simu akashukuru baadae akaniambia yeye kapiga pasi ndefu Sana nikamwambia pole later akanijibu Kama nimeguswa nimsaidie hapo nikafunguka nikamwambia mimi siwezi kumuhudumia kwa sababu sijui huko chuoni yupo na nani na hatujui future yetu kifupi mimi nina malengo na maisha yangu na sipendi ujinga ujinga wa chuo(Binafsi Sina roho mbaya ila nilimjibu hivyo kwa sababu wadau mliopitia chuo mtanielewa Jinsi uongo uongo na mapenzi yalivyo chuoni na ukweli nina malengo yangu ya kununua kiwanja)
Sasa huyu mdada tumekua tukiendelea kuwasiliana ila Jana nilimwambia kwanini unapoteza mda wakati unajua Mimi ni Muislam na wewe mkiristo akajibu suala hilo atakuja likizo tuliongee ana kwa ana na yupo seriously na maisha.
Mdada ni natural black hanaga swaga za make up na kuvaa mawigi,mpare ,mluther,anamalizia degree yake mwaka huu.
Mimi ni kiziwi japo si muhimu kusema hivyo, handsome boy,elimu yangu degree,Mpogoro, muislam.
Je,ni kweli wapare hawaridhiki na kweli wapare kisima Cha Kijiji maana watu wanaongea ongea Sana mtandaoni kuhusu wapare?
Je, inawezekana mwanamke akawa na long plans amei-set maana kutokana na hali yangu naogopa labda anataka kujishikiza tu?
Je,ni kweli wapare wanaua waume zao baada ya kutajirika?
Ni hayo tu wakuu.
NB:Natamani kutulia na kua na familia Sasa lakini tatizo wanawake jaman.
Sent using Jamii Forums mobile app