cinddy 822
New Member
- Jul 17, 2016
- 1
- 1
Mimi naitwa cinddy, nilikua naomba mnisaidie kwa yoyote atakaeguswa na bwana moyo wa kujitolea. Nimefiwa na baba yangu mlezi aliekua ananisomesha chuo. Niko mwaka wa mwisho chuo nasomea kozi ya accounts and finance. Nimepungiwa na ada shillingi laki tatu. Namba yangu ya simu ni 0768184898 nimejiunga na mpesa. Asanteni na mungu awabariki.