gsmsolution2009
Senior Member
- May 7, 2013
- 120
- 7
nataka kujua vitu ninavyotakiwa kulipa nikiagiza gari na jinsi ya kufanya calculation
Kama gari ni less than 10 yearsnataka kujua vitu ninavyotakiwa kulipa nikiagiza gari na jinsi ya kufanya calculation
Kama gari ni less than 10 years
1)25% ya bei ya gari -Charge ya kutoa bandarini
2)18% ya bei ya gari- VAT
3)unknown % rushwa + longo longo zingine
Kama imezidi 10 years wanaongeza charge ya uchakavu.
Nataka kuleta Gari kama mbili ila inabidi niweke mazingira kwanza pale bandarini, Urasimu umezidi bongo.
uchakavu ni asilimia ngapi???
aina ya gari ni toyota altezza c.c ni 1980 mwaka ni 1999mkuu nitajie gari unayotaka kununua, CC, year nikuambie kiasi cha kodi fasta....
aina ya gari ni toyota altezza c.c ni 1980 mwaka ni 1999