NAOMBENI MSAADA WA HARAKA

NAOMBENI MSAADA WA HARAKA

bujaganoni

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
561
Reaction score
453
Wapendwa habari ya Mchana, samahani kwa kuchanganya maada,


Naomba anayefahamu yanapopatokana mavi ya Tembo anitaarifu, nimeambiwa ni dawa ya degedege, unfortunately mtoto wangu anaonekana kuwa na homa ya degedege.

Msaada tafadhali
 
Wapendwa habari ya Mchana, samahani kwa kuchanganya maada,


Naomba anayefahamu yanapopatokana mavi ya Tembo anitaarifu, nimeambiwa ni dawa ya degedege, unfortunately mtoto wangu anaonekana kuwa na homa ya degedege.

Msaada tafadhali.

Asanteni... no yangu ni 0784379034
nenda duka la asilia dawa
au nenda ofisi za wanyamapori

mbona Ni easy tu

namba utaishia kutapeliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mavi ya tembo utayapata porini kama uko Arusha au mkoa wowote ulio karibu na hifadhi nenda hifadhini ongea na askari mmoja akufanyie mishe ya hiyo nnyaa ya tembo ukamtibu mwanao,tena kule kuna mavi fresh kabisa yasiyochakachuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kwny mapori yenye tembo upate kimba bichi kbs
 
Kama unaishi vizuri na jamii inayokuzunguka, jaribu kuwaona wamama watu wazima majirani zako, wanaweza kukusaidia bure tu kukutafutia dawa yoyote ile ya majani ambayo inatumika kwa kumuogeshea au kumnywesha mtoto na siyo lazima kuyatafuta hayo mavi ya tembo.
 
Kwanza we upo wapi?

ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓
 
Back
Top Bottom