naombeni msaada wa dell inagoma kuwaka

naombeni msaada wa dell inagoma kuwaka

by default

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
839
Reaction score
215
naombeni msaada kwa wataalam wa computer nina desk top dell ..tatizo lake kuna muda inawaka bila matatizo lakini inakuwa slow sana na kuna wakati inagoma kusend signal katika screen ila cpu inaonyesha kuwa ipo on..
 
mkuu jaribu njia hizi
1.Chomoa machine kutoka kwenye source ya power then iwashe machine huku umeshikilia power button kama 3times kwa mda (dk 3)hv ili kuwith-draw excess power,kwasababu hilo tatizo maranyingine linasababishwa na excess power.
2.Ifungue machine halafu toa RAM piga blower kuondoa vumbi na uchafu ndani ya PC hasa kwenye slots za RAM then rudishia RAM kama kawaida
3.Ikigoma hiyo ya kwanza either RAM imekufa au slot za RAM hazisomi,check kama machine yako kama ina RAM chip mbili chomoa tumia chip moja test kwa slot zote,ikigoma chukua chip nyengine test nayo,hata kama ina moja jaribu kuhamisha slot tofauti tofauti,kuna PC mbili zilikua na tatizo hilo baada ya kufanya hivo ikakubali,

hicho ndicho ninachokifahamu, zikigoma hizo labda tuwasubir wana JF wafunguke.
dats all mkuu.
 
sa mkuu hiyo option ya kwanza mashine itawakaje wakati kasema ni desktop
 
Mwagia mafuta ya taa kisha piga kiberiti itawaka tu
 
Back
Top Bottom