Naombeni Msaada kuhusu hii simu Lumia 820

Naombeni Msaada kuhusu hii simu Lumia 820

Anikajema

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
647
Reaction score
566
Habari za hapa wanajukwaa:

Wakuu naombeni msaada Simu yangu ni Nokia lumia 820 Window yake ipo 8:1

Tatzo hii simu ni facebook ndo siingii inakataa inaniambia Niongeze Version ..sasa nikitaka kui update inakataa naombeni msaada jinsi ya ku update either jinsi ya kuingia fb.
 
UKiingia Window store type Window insider hii app itakusaidia ku update kutoka w8.1 to w10 build Tumia tethering hotspot wakati wa ku update baada ya hiyo process utakuwa w10build yenye support then fesbuka kiutu uzima
 
UKiingia Window store type Window insider hii app itakusaidia ku update kutoka w8.1 to w10 build Tumia tethering hotspot wakati wa ku update baada ya hiyo process utakuwa w10build yenye support then fesbuka kiutu uzima
Asante mkuu Ngoja Nifanye ivo
 
Back
Top Bottom