ninatumia bitcomet na utorrent kudownload series, movies na applications lakini hizi applications ninazotumia kudownload zinachagua vitu vya kudownload, ninaweza kucomand kitu kikagoma kingine kikakubali, mfano series inaweza kubali kudownload episode 3 lakini episode 1 na 2 zikagoma. Naomba mwenye kujua nifanyaje anielekeze please.
ninatumia bitcomet na utorrent kudownload series, movies na applications lakini hizi applications ninazotumia kudownload zinachagua vitu vya kudownload, ninaweza kucomand kitu kikagoma kingine kikakubali, mfano series inaweza kubali kudownload episode 3 lakini episode 1 na 2 zikagoma. Naomba mwenye kujua nifanyaje anielekeze please.
daaaah nimelielewa swali lako kwa mbali kidg, cjaelewa zinagoma kvp? yaaan zinakubali kuadd kwny utorrent bt hazidownload? kama ni hvyo bas itakuwa tatzo ni number of seedes coz hizo torrents zinatumia seeds means seeds wakiwa wengi bas itadownload kwa speed kubwa kuliko ikiwa na seeds wachache... so unavyochagua torrent ya kushusha angalia idaddi ya seeds....
option nyingne unaweza badili hizo torrents magnet link to direct link na ukatumia idm kudownload ambayo ipo fast zaid na hii haitategemea seeds.
Mkuu naomba msaada jinsi ya kibadili hizo magnetic link to direct linkdaaaah nimelielewa swali lako kwa mbali kidg, cjaelewa zinagoma kvp? yaaan zinakubali kuadd kwny utorrent bt hazidownload? kama ni hvyo bas itakuwa tatzo ni number of seedes coz hizo torrents zinatumia seeds means seeds wakiwa wengi bas itadownload kwa speed kubwa kuliko ikiwa na seeds wachache... so unavyochagua torrent ya kushusha angalia idaddi ya seeds....
option nyingne unaweza badili hizo torrents magnet link to direct link na ukatumia idm kudownload ambayo ipo fast zaid na hii haitategemea seeds.