soma maelezo yake vizuri hizo nimezi unlock nyingi tuu zaidi ya 20, kama ni mtundu kidogo utafanikiwa, ugumu nadhani ni kuweza kusoma zile driver, kumbuka kuweka mobile partiner, na zile two line uzi-paste kule ndani ya yale ma-file ya mobile partiner then kuna ile link ukiingia ndio itasoma port then una update thought the device manager ili uweze kutambua application and interface port, baada ya hapo una update firmware kawaida kama hizi e303 za kawaida.NADHANI NIMEKUPA MWANGA JAPO SIJAPANGILIA VIZURI, BUT KAMA HUA UNA-UNLOCK UTAFANIKIWA, UKIKWAMA NICHEK 0784234391.