Duh kilo mbili kupanda ekari moja?kuna mbegu chotara hybrid inaitwa hysun 33 ni nzuri inauzwa 70000 kwa kilo mbili ambazo zinatosha kupanda ekari moja
Lete mrejesho je ulipata gunia ngapi kwa hekari na vipi kuhusu upatikanaji wa mafuta kwa gunia.Asante Sana wana jf kwa mchango wenu. Shukran kwan had nimefanikiwa kuwapata wazalishaji na wasambazaji.View attachment 921364
Mbegu umepata?Asante Sana wana jf kwa mchango wenu. Shukran kwan had nimefanikiwa kuwapata wazalishaji na wasambazaji.View attachment 921364
Duuu biashara ya kilimo cha alzet sijaielewa bro mwaka jana nililima songea heka 23 aina ya Kenya Feza nikaambulia gunia 70 tu. Cha ajabu had sasa lita 2500 sitaki kusikia tena hicho kilimo .Huu ndio ni ushuhuda wangu mimi mkulima
Sema kweli mimi sishauri sana hasa mtu wa mikoa ya kusini kwenye mvua nyingi kulima hilo zao nikujitia hasara tu mm mwenyewe nimepata hasara zaid ya mil 2Kuna mtu namfahamu alilima heka 2 akapata aisee mavumo aliyovuna ni aibu sana na alikamua mafuta lile dumu la lita 5 tu na lenyewe sijui kama aliuza,sana sana vimakapi vilivyopatikana aliishia kuwalishia ng'ombe wake.
Acha kupotosha watu nimekuona kwenye post hii ya pili unasema mara mtu alilima heka moja huku unasema mbili kama hujawahi kulima acha wanaotaka kujaribu wapate ushauri... hii tabia haiwezi kukusaidia kitu.Kuna mtu namfahamu alilima heka 2 akapata aisee mavumo aliyovuna ni aibu sana na alikamua mafuta lile dumu la lita 5 tu na lenyewe sijui kama aliuza,sana sana vimakapi vilivyopatikana aliishia kuwalishia ng'ombe wake.