ndo hadi kuniblock mkuu kisukari?
Kisa changu kiko hvi,kuna gal mmoja alikua galfrd wangu wa tangu utoton,ilitokea akaja kugundua kwamba nimemsalit kwa kutoka na rafiki yake kipenzi,wel alinchunia takriban mwaka mzima akikataa kujbu sms wala colz zangu,mwaka jana mwishon iltokea nkajarbu kumcol tena,bahat nzur akapokea 2kaongea mengi sana,na akaniambia amensamehe kwa yote yalyotokea na maisha yaendelee ka kawa,bac na mie nae kwa kujkosha nikamtumia zinga la zawadi kama asante ya msamaha wake.cha kushangaza imefika mwaka huu mwezi february,kila nkimpgia cmu yake naambiwa haipatkan bt nkijarbu kwa namba ingne inapatkana,nkajua tu atakua kaniblock coz hata a/c yangu ya fb nayo kaiblock,sasa wakuu nishaurin kuhusu huyu mtu hatujakosana tena wala nin ila ye kaamua kunitreat hvyo,me nimueleweje?over
Kijana kwanini ulimsaliti mwenzio? Pole na endelea kuwa na rafikiyake tu...
hilo la kuchukuliwa co big ishu kwangu mkuu,nlikua naulza sababu za hadi kuniblock,kwan c angenambia tu hatak mawasliano na mie ningemuelewa!
Hicho alichofanya mbona kinatosha kabisa kukujulisha kuwa hataki mawasiliano? Kama kusoma hujui, angalia picha utaelewa...hilo la kuchukuliwa co big ishu kwangu mkuu,nlikua naulza sababu za hadi kuniblock,kwan c angenambia tu hatak mawasliano na mie ningemuelewa!
Hahaha! We mkare manake umemstukia lol...kinachokuuma sio kukublock ni zawadi uliyotoa.