Naombeni mnishauri katika hili

Naombeni mnishauri katika hili

Mpangaji mgeni achukue kodi toka KWA wakongwe
 
Umefanikiwa kujenga lakini wewe Ni mpumbavu. Halafu ujue upumbavu Ni kipaji Kama urefu, ufupi , weusi nk. Yaani nichakudumu.
Utamruhusu vipi MTU aingie bila Kodi ya miezi sita?
Umekubali kindezindezi kwamba kweli wapangaji wamemlipa MTU Baki wewe mwenye nyumba uko bar.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom