Dybala kcga
Member
- Jun 13, 2017
- 11
- 3
Naombeni mnisaidie mpngilio wa kazi kutokana na Kombi hizi
HKL
HGL
HGK
HKL
HGL
HGK
Pitia pale Basata Mkuu,wanaweza kupa ushauri.Naombeni mnisaidie mpngilio wa kazi kutokana na Kombi hizi
HKL
HGL
HGK
Unaweza ukasoma tu lakini ucjue ustaarabu wa unachokisemea yaan uwe km behewa tuSoma kwanza ndugu yangu!
Mambo ya kazi kwq sasa ni magumu sana usije ukakatishwa tamaa
HahaPitia pale Basata Mkuu,wanaweza kupa ushauri.
Duh haywNadhani kombi zote hizo mpangilio wake wa kazi ni kama insha lakini ingekuwa PCM ni Swali, Kazi, Jibu.
Ila hata insha inamwishoNadhani kombi zote hizo mpangilio wake wa kazi ni kama insha lakini ingekuwa PCM ni Swali, Kazi, Jibu.
Naombeni mnisaidie mpngilio wa kazi kutokana na Kombi hizi
HKL
HGL
HGK
PamojaHKL hutokuwa na tofauti na Mwanasheria aliyeitia hasara kubwa nchi Chenge japo utabobea katika Sheria.
HGL unaweza ukamfikia Tundu Lissu kwa kujua Sheria japo utashindwa tu kuuiga ule upayukaji wake uliotukuka.
HGK unaweza ukawa Mfanyakazi mzuri wa BAKITA na mtohoaji mzuri wa maneno kama akina Makinikia.