Naombeni mchango wa mawazo

Naombeni mchango wa mawazo

wida

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
247
Reaction score
40
Kuna friend wangu ambaye yupo kimahusiano na shemu wangu, wamedumu kwa mda mrefu ila ndoto yao mwaka ujao ilikuwa rasmi wafunge ndoa,tatizo nikwamba rafiki yangu alihisi kuwa mpenzi wake ana msaliti, akaenda kwa jamaa hakuongea kitu alimpigia simu shemu wangu (mpenzi wangu kwa nini haukuniambia sikuzote kuwa una mtu.

Jibu:usichokijua wewe ni nini,ukweli ndo huo


Rafiki yangu akapatwa na pigo sana na hasira zilimjaa,akaenda kwa mzazi wa binti ila alishindwa kuongea
Binti:alimkana mbele ya mama yake.

Kama mnavyo fahamu uchungu unavyokuwa akajikuta amempigia baba yake na kumueleza
basi siku zimepita.


Shemeji akamsamehe siku ya jana, ukweli ni hivi yule jamaa ni shemeji yake ambaye wameoa dada yake kwa mama mkubwa.

Anaomba ushauri afanyaje na shemu wangu amesha msamehe ila ame divert bado anahasira.
Nahitaji mawazo yenu atumie njia gani, Ili wawe kama awali kwani anampenda sana.
 

Attachments

  • 1418268076217.jpg
    1418268076217.jpg
    14.1 KB · Views: 763
Could you please start again. Cjakuelewa, ama ni mimi nna usingizi bado?
 
Umenikumbusha story moja hivi ya jamaa mmoja aliyeswekwa rumande na dem wake kituo cha urafiki dsm kwa kosa la kumtishia kisu kwa sababu tu mpenzi wake alimkataa! Basi jamaa alilala selo kwa siku 3, mpenziwe alipokuja kwa wito wa polisi ili amdhamini, binti kakataa kata kata!!

sometimes i say, let it go, vinginevyo kwa mapenzi ya sasa yanayoangalia noti, utaishia kubaya sana!

Ntarudi kukushauri.
 
Umenikumbusha story moja hivi ya jamaa mmoja aliyeswekwa rumande na dem wake kituo cha urafiki dsm kwa kosa la kumtishia kisu kwa sababu tu mpenzi wake alimkataa! Basi jamaa alilala selo kwa siku 3, mpenziwe alipokuja kwa wito wa polisi ili amdhamini, binti kakataa kata kata!!

sometimes i say, let it go, vinginevyo kwa mapenzi ya sasa yanayoangalia noti, utaishia kubaya sana!

Ntarudi kukushauri.

unamanisha
 
Naomba urudie hiyo kuiedit hiyo habari taratibu tukuelewe.
 
Last edited by a moderator:
Kiswahili kweli kigumu....

Mkuu ni hivi huyo rafiki yako hana sababu ya kula matapishi ya wengine...

Kama shem wako alimkataa mwanzo haina sababu ya kuendelea naye...

Mapenzi ni kupeana nafasi, mtu asipoithamini nafasi apewayo hakuna sababu ya kupewa tena nafasi...
 
Kama ndo hivi tusishangai kila mtu kuandika lugha yake hapa, hata Kiswahili mtu anashindwa kupaingilia akaeleweka anachotaka kumaanisha? Au una kigugumizi kwenye vidole?
 
mhhh hizi movie zenye poor budget ni shidaa...
repeat anddd action...
cjaelewa kitu tchaaa.
 
Baada ya kuisoma nikadhani ni mimi tu ndio sijaelewa......

Wewe najua utaelewa sasa hivi.......uniadisie ukiwa tayari........
Halafu mwambie huyu jamaa........issue za rafiki yake zinamuhusu nini kama si umbea.........afuate yake aachane na mambo ya watu.........
 
Dah, utadhani ni swali la maths enzi hizo;
2) b. Jonh has two shilings, jane has seven mangoes, calculate the mass of the sun.


Unamwambia mwalimu kama hizo maksi umeona issue zichukue basi!

Nimecheka hadi basi!

Tehe, mwingine nae: '...Story ina Shem nyingi...'
 
Back
Top Bottom