Naombeni mchango wa mawazo

Naombeni mchango wa mawazo

Dah, utadhani ni swali la maths enzi hizo;
2) b. Jonh has two shilings, jane has seven mangoes, calculate the mass of the sun.


Unamwambia mwalimu kama hizo maksi umeona issue zichukue basi!

haahhahahahahah aoseee
 
Nimecheka hadi basi!

Tehe, mwingine nae: '...Story ina Shem nyingi...'

Mimi nashauri yule shem wakoa amwambie tu yule shem ili tujue kama shem nae anaweza amua kuulizia watu ila asije muuliza mshikaji kwani shem nae anaweza kujua kua wewe ndo unajua kuawa Escrow ndo ime shitukiwa? au vip?
 
Siku hizi marafiki wanasingiziwa sana, mi mwenyewe rafiki angu boifrendi ake anamsumbua naomba ushauri nifanyeje ooh sorry afanyeje!!!!

Shem inaonekana umemuelewa huyu jamaa, hembu nisaidie na mimi duuh!
 
Nilipoanza kusoma mpaka mwisho sikuelewa nikasema headphones zinanichanganya,nimezitoa sikuelewa.
 
Siku hizi marafiki wanasingiziwa sana, mi mwenyewe rafiki angu boifrendi ake anamsumbua naomba ushauri nifanyeje ooh sorry afanyeje!!!!

ubaya ni kwamba ukitongozwa au kutegwa na rafiki wa mpenzi wako kuchomoka ngumu sana sijui kwa nini
 
Kwanini mtu unapotaka kuandika thread usitafute mahali ukatulia...ukaandika vizuri......na kisha ukapitia vyema ulichoandika alafu unapost...........mbona rahisi sana wajameni.......siku nyingine utashindwa kupata ushauri mzuri kutokana na haraka ya kuandika............
 
Siku hizi marafiki wanasingiziwa sana, mi mwenyewe rafiki angu boifrendi ake anamsumbua naomba ushauri nifanyeje ooh sorry afanyeje!!!!

.vipi unamzumzia yule rafiki yako, ambaye shemeji yake kasema ile SMS alokosea kupokea Jana, ilipotea njia?.
 
Hujaeleweka embu tulia uje tena, pole kwa kuchanganyikiwa.
 
Nimesoma kwa umakini mkubwa lakini nimetoka bila bila yaani ngoma ni ndroo.
Kama ni mpira wa miguu basi waswahili husema hakuna aliyeona lango la mwenzake.
 
Back
Top Bottom