Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,202
- 99,941
Nimeona neno Shemeji tu, nimeishia hewani, Kha
Siku hizi marafiki wanasingiziwa sana, mi mwenyewe rafiki angu boifrendi ake anamsumbua naomba ushauri nifanyeje ooh sorry afanyeje!!!!Wewe najua utaelewa sasa hivi.......uniadisie ukiwa tayari........
Halafu mwambie huyu jamaa........issue za rafiki yake zinamuhusu nini kama si umbea.........afuate yake aachane na mambo ya watu.........
Kuna friend wangu
ambaye yupo kimahusiano na shemu wangu, wamedumu kwa mda mrefu ila ndoto
yao mwaka ujao ilikuwa rasmi wafunge ndoa,tatizo nikwamba rafiki yangu
alihisi kuwa mpenzi wake ana msaliti, akaenda kwa jamaa hakuongea kitu
alimpigia simu shemu wangu (mpenzi wangu kwa nini haukuniambia sikuzote
kuwa una mtu.
Jibu:usichokijua wewe ni nini,ukweli ndo huo
Rafiki yangu akapatwa na pigo sana na hasira zilimjaa,akaenda kwa mzazi
wa binti ila alishindwa kuongea
Binti:alimkana mbele ya mama yake.
Kama mnavyo fahamu uchungu unavyokuwa akajikuta amempigia baba yake na
kumueleza
basi siku zimepita.
Shemeji akamsamehe siku ya jana, ukweli ni hivi yule jamaa ni shemeji
yake ambaye wameoa dada yake kwa mama mkubwa.
Anaomba ushauri afanyaje na shemu wangu amesha msamehe ila ame divert
bado anahasira.
Nahitaji mawazo yenu atumie njia gani, Ili wawe kama awali kwani
anampenda sana.
Dah, utadhani ni swali la maths enzi hizo;
2) b. Jonh has two shilings, jane has seven mangoes, calculate the mass of the sun.
Unamwambia mwalimu kama hizo maksi umeona issue zichukue basi!
Dah, utadhani ni swali la maths enzi hizo;
2) b. Jonh has two shilings, jane has seven mangoes, calculate the mass of the sun.
Unamwambia mwalimu kama hizo maksi umeona issue zichukue basi!
Na huyo aliweyemuweka hapo sijui ndo shem mwenyeweNimeona neno Shemeji tu, nimeishia hewani, Kha
Na huyo aliweyemuweka hapo sijui ndo shem mwenyewe
Nimecheka sana aiseee, uko wapi uje tupate NOAH??/ Asante sanaSiku hizi marafiki wanasingiziwa sana, mi mwenyewe rafiki angu boifrendi ake anamsumbua naomba ushauri nifanyeje ooh sorry afanyeje!!!!
Dah, utadhani ni swali la maths enzi hizo;
2) b. Jonh has two shilings, jane has seven mangoes, calculate the mass of the sun.
Unamwambia mwalimu kama hizo maksi umeona issue zichukue basi!
Dah, utadhani ni swali la maths enzi hizo;
2) b. Jonh has two shilings, jane has seven mangoes, calculate the mass of the sun.
Unamwambia mwalimu kama hizo maksi umeona issue zichukue basi!