Naombeni mchanganuo kidogo kwa mtu ambae anafanya na tayari amefanikiwa kupitia hii biashara

Nov 29, 2020
76
53
Naomba ufafanuzi yakinishi kuhusu biashara ya mkaa kwa hapa dar es salaam. Upatikanaji wake, usafirishaji, soko, vibari na uhuru, uendeshaji, pia na mtaji ambayo naweza anza nao .
 
Naomba ufafanuzi yakinishi kuhusu biashara ya mkaa kwa hapa dar es salaam. Upatikanaji wake, usafirishaji, soko, vibari na uhuru, uendeshaji, pia na mtaji ambayo naweza anza nao .
Kwa maelezo ya nadharia ni biashara yenye faida kubwa, lakini ukiingia ndio utaelewa somo.

Binafsi sijaonaga mtu anayedeal na mkaa mwenye maendeleo.

Kuna mama mmoja mtaani kwangu alikuwa anashusha Fuso zima na anauza hadi anamaliza na analeta Fuso nyingine lakini maisha yake ni duni tu.

Nahisi hii biashara ni kama ina laana maana unachoma nature, miti ina roho, miti ina uhai, miti inanena.
 
Hii biashara banaa..
Nilifanya hii biashara 2009-2012.

Nilikua na mtu anafuso linapita njia zenye mkaa kwa bei fair. Kila baada ya siku 3 alinishushia gunia 4-6-8. Mimi niliuza 2.5 X Price, so it was paying. Unaweza usielewe ila ilinipa hela nzuri kiasi cha kununua shamba ekari 10 morogoro na maisha yaliendelea. Usishangae kwanini shamba, kwanini morogoro, nilikua na ndoto. Japo shamba lenyewe nilishadhulimuwaga nikamuachia Mungu. Nitaletea uzi siku nyingine.

Kwanini nilipakia gunia chache kwa safari.
We waangalie hao maliasili uwaache ivo ivo, usiombe ujae kwenye 18 zao. Hao wanaroho ngumu kama askari wa ujangili. Kwahyo gunia chache ni rahisi kusema za matumizi ya nyumbani, mbili za tajiri, mbili za dereva, mbili za utingo, et al.

Pasua kichwa kwenye hii biashara.
Ukifanya kiharamia, bila vibali, maliasili wakikama ni wewe, mkaa, gari, vyote vinakua kizuizini. Kwahiyo inabidi umwage mpunga mwingi kusurvive na uharamia. Ndio maana wauza mkaa hawaendelei.

Ukifanya kwa vibali, kibali cha maliasili ni pesa mingi na kinakaa siku chache, kwahyo kuna wakati kina expire bado uko porini unakusanya mkaa, ukiwa unarudi wakikukamata imekula kwako. Ndio maana wauza mkaa hawaendelei

Lakini pia ukifanikiwa kupata mkaa kwa hicho kibali ndani ya wakati, wakikukagua wakakuta kipo valid wanatakiwa wakisign ili usikitumie tena, kama ticket ya mwendo kasi inavochanwa ili isirudiwe. Sasa kwa gharama ya kile kibali, ukikitumia mara moja huioni faida ya mkaa. Kwahyo lazima umwage tena mpunga wakutosha ili kisisainiwe ukitumie mara nyingine.

Harakati za mtu mweusi zina mengi sana
Ila hii isikukatishe tamaa, hakuna gumu kabisa, yote yana uwezekano kwa namna flan. Sometimes you gotta chil with the men on high table, na mambo yataenda au tumia mbinu zozote ujuavyo wewe.

Samahani lakini, umetaka achangie alifanya na kufanikiwa. Me nilifanya ila sikufanikiwa, nimejipendekeza kiaina
 
Kwa maelezo ya nadharia ni biashara yenye faida kubwa, lakini ukiingia ndio utaelewa somo.

Binafsi sijaonaga mtu anayedeal na mkaa mwenye maendeleo.

Kuna mama mmoja mtaani kwangu alikuwa anashusha Fuso zima na anauza hadi anamaliza na analeta Fuso nyingine lakini maisha yake ni duni tu.

Nahisi hii biashara ni kama ina laana maana unachoma nature, miti ina roho, miti ina uhai, miti inanena.
Vipi wewe umeshawahi kuifanya?
 
Kwa maelezo ya nadharia ni biashara yenye faida kubwa, lakini ukiingia ndio utaelewa somo.

Binafsi sijaonaga mtu anayedeal na mkaa mwenye maendeleo.

Kuna mama mmoja mtaani kwangu alikuwa anashusha Fuso zima na anauza hadi anamaliza na analeta Fuso nyingine lakini maisha yake ni duni tu.

Nahisi hii biashara ni kama ina laana maana unachoma nature, miti ina roho, miti ina uhai, miti inanena.
Sio laana per say, ni biashsra ngumu mahesabu ni complicated faida huwezi kuiona
 
Sio laana per say, ni biashsra ngumu mahesabu ni complicated faida huwezi kuiona
Hakuna biashara isiyokuwa na faida, usipoona faida ndio mauzauza yake hayo, miti inalia machozi kabisa, utafanikiwa vipi?

Kuna matambiko yanafanyika kwenye miti polini wewe unakuja unakata unachoma mkaa, unategemea nini?

Waangalie hata mafundi seremala walivyoolaanika.
 
Hakuna biashara isiyokuwa na faida, usipoona faida ndio mauzauza yake hayo, miti inalia machozi kabisa, utafanikiwa vipi?

Kuna matambiko yanafanyika kwenye miti polini wewe unakuja unakata unachoma mkaa, unategemea nini?

Waangalie hata mafundi seremala walivyoolaanika.
Kwa hiyo hii niachane nayo kabisa ata nisiifikirie sasa nipe wazo maana mimi natafuta mtu ambae anafanya biashara nami nifanyie naye kwa mda ndipo nami niweke yakwangu
 
Hii biashara banaa..
Nilifanya hii biashara 2009-2012.

Nilikua na mtu anafuso linapita njia zenye mkaa kwa bei fair. Kila baada ya siku 3 alinishushia gunia 4-6-8. Mimi niliuza 2.5 X Price, so it was paying. Unaweza usielewe ila ilinipa hela nzuri kiasi cha kununua shamba ekari 10 morogoro na maisha yaliendelea. Usishangae kwanini shamba, kwanini morogoro, nilikua na ndoto. Japo shamba lenyewe nilishadhulimuwaga nikamuachia Mungu. Nitaletea uzi siku nyingine.

Kwanini nilipakia gunia chache kwa safari.
We waangalie hao maliasili uwaache ivo ivo, usiombe ujae kwenye 18 zao. Hao wanaroho ngumu kama askari wa ujangili. Kwahyo gunia chache ni rahisi kusema za matumizi ya nyumbani, mbili za tajiri, mbili za dereva, mbili za utingo, et al.

Pasua kichwa kwenye hii biashara.
Ukifanya kiharamia, bila vibali, maliasili wakikama ni wewe, mkaa, gari, vyote vinakua kizuizini. Kwahiyo inabidi umwage mpunga mwingi kusurvive na uharamia. Ndio maana wauza mkaa hawaendelei.

Ukifanya kwa vibali, kibali cha maliasili ni pesa mingi na kinakaa siku chache, kwahyo kuna wakati kina expire bado uko porini unakusanya mkaa, ukiwa unarudi wakikukamata imekula kwako. Ndio maana wauza mkaa hawaendelei

Lakini pia ukifanikiwa kupata mkaa kwa hicho kibali ndani ya wakati, wakikukagua wakakuta kipo valid wanatakiwa wakisign ili usikitumie tena, kama ticket ya mwendo kasi inavochanwa ili isirudiwe. Sasa kwa gharama ya kile kibali, ukikitumia mara moja huioni faida ya mkaa. Kwahyo lazima umwage tena mpunga wakutosha ili kisisainiwe ukitumie mara nyingine.

Harakati za mtu mweusi zina mengi sana
Ila hii isikukatishe tamaa, hakuna gumu kabisa, yote yana uwezekano kwa namna flan. Sometimes you gotta chil with the men on high table, na mambo yataenda au tumia mbinu zozote ujuavyo wewe.

Samahani lakini, umetaka achangie alifanya na kufanikiwa. Me nilifanya ila sikufanikiwa, nimejipendekeza kiaina
Kwahiyo kiufupi ni biashara ngumu sana mkuu.
 
Kwa maelezo ya nadharia ni biashara yenye faida kubwa, lakini ukiingia ndio utaelewa somo.

Binafsi sijaonaga mtu anayedeal na mkaa mwenye maendeleo.

Kuna mama mmoja mtaani kwangu alikuwa anashusha Fuso zima na anauza hadi anamaliza na analeta Fuso nyingine lakini maisha yake ni duni tu.

Nahisi hii biashara ni kama ina laana maana unachoma nature, miti ina roho, miti ina uhai, miti inanena.
Mkuu hacha masihara watu wananunua mpaka magari na kujenga mijengo ya maana kupitia biashara hii.

Mleta mada nakushauri tafuta sehemu iliyo changamka kama centre au magengeni uanze biashara yako muhimu uwe mchangamfu na uwape nyongeza wateja wako.

Mimi nimeifanya ndio biashara iliyo nifanya nipate mafanikio makubwa sana.
 
Siwezi kufanyabiashara za hivyo, nafanya kitu ambacho kina role model wa mfano kimafanikio, unamjui nani mwenye mafanikio kupitia biashara ya mkaa? Ile miti inalia huwezi kufanikiwa.

Kwanza ukiona Muhindi au mchaga hana mpango na hiyo biashara jiongeze.
Wewe fanya ufikie mafanikio makubwa kuna watu watakuja kuifanya kwa kua wewe ndie role model wao kwa biashara hiyo.
 
Mkuu hacha masihara watu wananunua mpaka magari na kujenga mijengo ya maana kupitia biashara hii.

Mleta mada nakushauri tafuta sehemu iliyo changamka kama centre au magengeni uanze biashara yako muhimu uwe mchangamfu na uwape nyongeza wateja wako.

Mimi nimeifanya ndio biashara iliyo nifanya nipate mafanikio makubwa sana.
Una mafanikio gani?
 
Kwa maelezo ya nadharia ni biashara yenye faida kubwa, lakini ukiingia ndio utaelewa somo.

Binafsi sijaonaga mtu anayedeal na mkaa mwenye maendeleo.

Kuna mama mmoja mtaani kwangu alikuwa anashusha Fuso zima na anauza hadi anamaliza na analeta Fuso nyingine lakini maisha yake ni duni tu.

Nahisi hii biashara ni kama ina laana maana unachoma nature, miti ina roho, miti ina uhai, miti inanena.
Ukute nyumbani kwako unamiliki kitanda Cha mninga, kabati ya mninga, meza ya mninga na viti vya mninga.
 
Ukute nyumbani kwako unamiliki kitanda Cha mninga, kabati ya mninga, meza ya mninga na viti vya mninga.
Nilipo ona swali lako nikajua tu utaleta dharau nikikujibu

Mkuu karibu kwangu uone palivyo pazuri tofauti na unavyo fikiria, utasema ni kwa boss muuza madini unafikiri mchezo wewe kuna watu tunajua kutafuta.

Halafu nakwambia kaa ukijua hakuna biashara isiyo na faida hii inatokana na unavyofanya.

Unadharau biashara ya mkaa wewe
 
Back
Top Bottom