Naombeni mbinu za kumzidi kibiashara ya mpinzani wako

Naombeni mbinu za kumzidi kibiashara ya mpinzani wako

BABA BOMBASTIC

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2024
Posts
349
Reaction score
570
Habari wakuu.

Katika harakati za kutafuta maisha kuna mbinu na mikakati ya kushinda soko lako,haswa kwa sisi Wafanyabiashara kuna mbinu za kijeshi ambazo huwezi kuzipata popote,ila humu jamii kuna mantillegence wa hatari sana nimekuja kwenu ndugu zangu naomba nipeni mbinu za kuuwa biashara ya mpinzani wangu,maana tupo kwenye vita hii dunia ni uwanja wa vita hata mwenyezi mungu alisema tujipambanie..
Naombeni mbinu wakuu
 
Habari wakuu.

Katika harakati za kutafuta maisha kuna mbinu na mikakati ya kushinda soko lako,haswa kwa sisi Wafanyabiashara kuna mbinu za kijeshi ambazo huwezi kuzipata popote,ila humu jamii kuna mantillegence wa hatari sana nimekuja kwenu ndugu zangu naomba nipeni mbinu za kuuwa biashara ya mpinzani wangu,maana tupo kwenye vita hii dunia ni uwanja wa vita hata mwenyezi mungu alisema tujipambanie..
Naombeni mbinu wakuu
"MSHINDANI WAKO NI GENIUS SANA"
NB:Washindi,shabaha yao kushinda,Wanaoshindwa,shabaha yao Washindi.
 
Biashara ina sehemu 3 Muhimu:

1. Excellence kwenye Huduma /Bidhaa
2. Kuwa aggressive.
3. Risking taking.

Baada ya hayo yote, this one is a game changer:

- Mambo yote uyaonayo Katika ulimwengu unaoonekana yameazia katima ulimwengu usiionekana; Hizi battles zote humalizikia kwenye ulimwengu wa roho.

Duniani Kuna watu wa aina 3:

1. Wanaomtegemea Mungu.
2. Waliouza nafsi zao kwa shetani.
3. Wataabikaji ( Kama wewe )

#Nakushauri uchague Moja, 2 na 3 ni ngumu sana, na kamwe don't fall into number 2, ni mbaya sana.
 
Biashara ina sehemu 3 Muhimu:

1. Excellence kwenye Huduma /Bidhaa
2. Kuwa aggressive.
3. Risking taking.

Baada ya hayo yote, this one is a game changer:

- Mambo yote uyaonayo Katika ulimwengu unaoonekana yameazia katima ulimwengu usiionekana; Hizi battles zote humalizikia kwenye ulimwengu wa roho.

Duniani Kuna watu wa aina 3:

1. Wanaomtegemea Mungu.
2. Waliouza nafsi zao kwa shetani.
3. Wataabikaji ( Kama wewe )

#Nakushauri uchague Moja, 2 na 3 ni ngumu sana, na kamwe don't fall into number 2, ni mbaya sana.
Kwa hakika mkuu
 
Habari wakuu.

Katika harakati za kutafuta maisha kuna mbinu na mikakati ya kushinda soko lako,haswa kwa sisi Wafanyabiashara kuna mbinu za kijeshi ambazo huwezi kuzipata popote,ila humu jamii kuna mantillegence wa hatari sana nimekuja kwenu ndugu zangu naomba nipeni mbinu za kuuwa biashara ya mpinzani wangu,maana tupo kwenye vita hii dunia ni uwanja wa vita hata mwenyezi mungu alisema tujipambanie..
Naombeni mbinu wakuu
Toa huduma bora zaidi ya unayeona ni mpinzani wako.
 
Back
Top Bottom