Naombeni mawazo yenu wakuu

Brownj

Senior Member
May 8, 2017
139
80
Kwanza kabisa nawashukuru sana wana jamii forum kwani mara nyingi nikihitaji kufaham au kujifunza au kupata mawazo zaidi katika jambo fulani Jamii forum inanitosheleza

Mwenzenu naombeni ushauri

Nimehitim kidato cha sita mwaka 2015 nikajiunga chuo NIT mabibo lakin hali ilinielemea sana kwan boom sikuwahi kupata kwani taarifa zangu zilienda kwa kuchelewa Loan board nlichelewa kujiunga kwasababu za kiuchumi hivyo baada ya tabu na shida nyingi nikaamua kupostpone mwaka wa masomo nikarudi mtaa nmejikusanya kiasi na lengo langu nlitaka niaply diploma nisome kozi yoyote ya afya lakini bado naona ntaenda kupata shida kama ileile tu kwan naweza kulipa ada lakin ntakula nn ntalala wapi

Na ku, resume masomo NIT siwezi kwan computer science siiwezi kabisa nlisoma PCB advance

Nashukuru mungu nimemwaga zege sana na vibarua vingine nmepata pesa sasa nataka nirud kusoma je nkasome nn wadau najitegemea mm kama mm kwani family yangu ni maskini sana siwez hata kuwaomba ata buku,
 
Kwanza , pole sana.
Pili, angalia kiasi cha fedha ulizonazo ili usije achia njiani maana ni bora ukakusanya hela zitoshe kuliko kuanza na kuachia njiani unakuwa unapoteza vitu viwili /2 kwa wakati mmoja: 1. pesa na 2. muda wako.

Majibu sasa haya hapa:-

Angalia kozi unayoiweza

Pia angalia , kazi unayoipenda

Mwisho, kozi za medicine ajira ni nyingi (kozi za utabibu zina uwanja mpana wa kupata kazi sehemu nyingi nchini hata nje ya nchi kama ukiwa vizuri.
[Ila, hizo issues za NIT ni za kubahatisha sana au mtu anayekufahamu akupe nafasi ] )
 
Kwa harakaharaka inaonekana una upeo mkubwa wa kufikiri ,kupembua na kuamua mambo. Una uwezo mkubwa sana wa kuingia mtaani ukaanzisha biashara au mradi wowote baada ya muda ukaja kuwa na kipato kikubwa tu. Haya ni mawazo yangu nje ya hilo unaloliwazia lkn.
 
Kwanza , pole sana.
Pili, angalia fedha ilizonanzo ili usije achia njiani maana ni bora ukakusanya hela zitoshe kuliko kuanza na kuachia njiani unakuwa unapoteza vitu 2 kwa wakati mmoja: 1. pesa na 2. muda wako

Ila angalia kozi unayoiweza

Pia angalia , kazi unayoipenda

Mwisho, kozi za medicine ajira ni nyingi (kozi za utabibu zina uwanja mpana wa kupata kazi sehemu nyingi nchini hata nje ya nchi kama ukiwa vizuri, [ila hizo NIT ni za kubahatisha sana au mtu anayekufahamu akupe nafasi ] )
Kweli kabisa mkuu
asante kwa ushauri
remain blessed
 
Kwa harakaharaka inaonekana una upeo mkubwa wa kufikiri ,kupembua na kuamua mambo. Una uwezo mkubwa sana wa kuingia mtaani ukaanzisha biashara au mradi wowote baada ya muda ukaja kuwa na kipato kikubwa tu. Haya ni mawazo yangu nje ya hilo unaloliwazia lkn.
Ukiweza kutambua uwezo wa mtu ni dhahiri kuwa una uwezo zaidi
Ni kweli nawaza hayo mkuu asante sana
 
Ukiweza kutambua uwezo wa mtu ni dhahiri kuwa una uwezo zaidi
Ni kweli nawaza hayo mkuu asante sana
Kwa aina ya shughuli zangu kwa sasa , kuna wakati nadhani nilipoteza muda mwingi ku-concentrate kwenye mambo ambayo ni kama vile nilipoteza muda mwingi bila sababu za msingi mkuu. Ukisimamia kile unachokiamini kwa dhati, kwa nidhamu na kwa kujituma , dunia inakuwa sehemu salama kwa maisha yako
 
Kwa aina ya shughuli zangu kwa sasa , kuna wakati nadhani nilipoteza muda mwingi ku-concentrate kwenye mambo ambayo ni kama vile nilipoteza muda mwingi bila sababu za msingi mkuu. Ukisimamia kile unachokiamini kwa dhati, kwa nidhamu na kwa kujituma , dunia inakuwa sehemu salama kwa maisha yako
Mkuu nisaidie namba yako kama hutojali nikupate wasap
Natanguliza shukran
 
Back
Top Bottom