Si unatumia app?Mkuu hivi unafanyaje mpaka Uzi UNALETA hivyo
Mfano kwenye huu uzi, juu kulia kuna vidoti 3. Unabonyeza hivyo vidoti unacopy url kisha unapaste.
Si unatumia app?Mkuu hivi unafanyaje mpaka Uzi UNALETA hivyo
Si unatumia app?
Mfano kwenye huu uzi, juu kulia kuna vidoti 3. Unabonyeza hivyo vidoti unacopy url kisha unapaste.
Notice cha kupest mbona sikion mkuuSi unatumia app?
Mfano kwenye huu uzi, juu kulia kuna vidoti 3. Unabonyeza hivyo vidoti unacopy url kisha unapaste.
HahaaHakika imenitokea hii nimemind sana
Ukifika sehemu ya kuandika ujumbe. Sehemu plain ya ujumbe shikilia hadi litoke neno paste libonyeze.Notice cha kupest mbona sikion mkuu
Asante mkuu nimewezaUkifika sehemu ya kuandika ujumbe. Sehemu plain ya ujumbe shikilia hadi litoke neno paste libonyeze.


Hili bango lako hili Mungu anakuona 😀😀😀Ukiona mjanja kapendwa ujue kuna fala katendwa