Naombeni Mabango ya kunifariji

Naombeni Mabango ya kunifariji

CF34B6C4-69A3-4595-A421-50708ED358C0-219-00000007A0A8990B.jpeg

Hapo jee??
 
Sijaijua jinsia yako ila kama mwanaume basi hii itakufariji,ukata uliokuwa nao ndo unaokusababishia matatizo ya kutendwa siku ukiwa nazo wenyewe watakuja bila kujali umri wako wala sura yako....
Screenshot_2018-11-11-21-52-42-972_com.facebook.katana.jpeg
 
utaki tena mapenzi lakini unataka mabango yenye kukufariji juu ya mapenzi.....aisee mapenzi yakishamvuruga mtu hayamuachi salama yani hadi inafika hatua anasema jambo asilolielewa hata yeye mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom