naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

Pole sana ila mimi ni katika watu ambao hawaamini kuwa majini wanauwezo wa kuwaingilia watu, japokuwa kuwa watu wenye kuyathibitisha hayo.
Hisije kuwa wewe ni sleepwaker, yaani ni katika wale watu ambao wanafanya mambo au matukio wakiwa usingizini...! Inawezekana hunapenda kujichezea chezea na ndio maana hivyo vidole vinne vimeweza kupita bila shida, kitu ambacho kinaonekana kuwa hiyo sehemu ya haja kubwa imezoea kupitisha na si kutoa tu nje tu.

Nenda kamuone daktari wa akili, wanaweza kukusaidia shida yako. Au kama wanavyo shauri wengine hapa nenda kamuone kiongozi wako wa dini unayo iamini ili akufanyie dua au maombi.

Mkuu hapo nilipogonga red anatakiwa azingatie sana ushauri na ajaribu sana kutoka kwenye mawazo hayo aliyojijengea. Inawezekana ikawa ameshajijengea hayo mambo akilini na kila saa anafikiria kutokana na kuipa hiyo hali kipaombele zaidi. Anatakiwa aachane nayo anapoona hiyo hali ajishugulishe na kufanya kazi hata za nguvu ili kuondoa huo utando akilini. Yaani ahakikishe haruhusu kujadili akilini hayo mambo kabisa ataanza kuijengea akili mazingira mengine na hiyo hali inaweza kutoweka. Asijeakaruhusu au akaipa nafasi kitu ambacho hakipendi kama ni mtaka ushauri kweli. Ajiangaliye yupo kwenye mazingira gani zaidi tangia alipoanza kukumbana na hiyo hali inawezekana ikawa ni maradhi ya kisaikilogia. Lakini hapo kwenye vidole ameniacha hoi. Kwa nini anakubali kuuchezea mwili wake hata yeye mwenyewe ni swali ambalo hata yeye mwenyewe anatakiwa ajiulize. JITAHIDI UMUWEKE MUNGU MBELE ZAIDI KWA KILA JAMBO KIMAWAZO.
 
nashukuru sana kaka angu ulietangulia,huyu aliandka i thread ni SHOGA 100%,mana amejitaidi kujivika uhusika wa kiuwanawake bt bdo imeshdwa ku work out,chek juu commnt zilizopta kuna sehemu amepewa ushauri na DENA embu muangalie ukwel upo wapi, minadhani huyu ni BOFLO karudi na mada zake.
 
Mimi nahisi una silika za kupenda kuingiliwa nyuma na wanaume,nakushauri tafuta bwana mmoja kwa siri sana akuingilie uone utajisikiaje,ukiona utamu basi endelea nae ukiona si tamu basi acha kabisa
 
Sibure utakua una jini basha linalokuingilia kwa nyuma,ila je hujawahi kuingiliwa kwanyuma kikwelikweli?inawezekana nimchezo wako,kama bado nenda ukaombewe dua au ufanyiwe maombezi kulingana na imani yako.
 
God forbid.
Me nakushauri kama huna mwanamke utafte mwanamke haraka.logic ni kua lazima halai hiyo inaanza kuupelekea wewe kuhitaji kufanya hivyo.
cha msingi ni kua na mwanamke ili uwe wewe ndo unakula.ukikaa hivyohivyo ham zitakuzidi na ukikosea ukajarib siku mojatu umeisha.
lazima utaendelea ndugu. unatakiwa pia utumie saikolojia yako kuchukia hizo ndoto hatakama mwili umeshaanza kuzipenda.
 
Habarii wana JF. Naombeni wajuzi wa mambo mnijuze ktk hili na nifanye nini hasa niweze kuondokana na hizi ndoto. Ni hivi, mimi ni mwanamume wa miaka 31, toka mwaka 2008 nimekuwa nikiota ninafanya mapenzi na kaka yangu (yaani ananiingilia kinyume na maumb.......l), hali hii ilikuwa inaniudhi sana! na kipindi hicho nilikuwa nikiota nastuka usingizini. hali ikaendelea na sijui ilikuwaje nikaanza kuzizoea hizo ndoto na hata kufurahia hilo tendo. Ajabu ni kuwa kila nikiota namuota ni kaka yangu ndiye ananiingilia (kaka wa tumbo moja na tupo wawili tu ktk uzao). Niandikapo sasa hivi nimetoka kuota ndoto hii na nilikuwa nahisi raha na kufurahia SIJUI NI NINI KINACHOENDELEA KTK MWILI WANGU. Baada ya kustuka toka ndotoni nimejaribu kujiingizia kidole cha kati sehemu zangu za nyuma kimeingia bila shida!!! nikajaribu kujipaka vaceline na kuingiza vidole vyote vinne vimeingia bila shida pia na bila maumivu!!! WANAJAMII HIKI SI KISA CHA KUTUNGA, NAHITAJI MSAADA WENU WA MAWAZO NI NINI HII?? NA NIFANYAJE NITOKANE NA HII HALI??. TAFADHARI KAMA WAONA HUNA MSAADA WA MAWAZO NAOMBA USITOE KASHFA. Afya yangu pia inadhoofu sana. Ahsanteni

Kha i see angalia usije ishia kupakatwa mtoto wa kiume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom