LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Baada ya kifo cha Mnajimu aliyekuwa maarufu Africa Mashariki na Kati,Je? Ule ukurasa wa mambo ya ijuwe"NYOTA YAKO" kwenye gazeti la Nipashe itaendelea kuchapishwa wakati Mnajimu katangulia mbele ya haki? Twendeni pamoja wanaJF!