vivian JF-Expert Member Nov 2, 2009 1,749 1,000 Nov 1, 2010 #1 Jamani hata nkipata Umbea kuhusu mwenendo wa kule Same Mashariki nitafurahi sana. Anybody wth a clue?
Jamani hata nkipata Umbea kuhusu mwenendo wa kule Same Mashariki nitafurahi sana. Anybody wth a clue?
Zogwale JF-Expert Member Jul 10, 2008 15,287 10,842 Nov 1, 2010 #2 Jamani wenye matoke ya huko Same Mashariki watupe hapa jamani. Akina mama walikuwa wanachuana kule ni vipi?
Jamani wenye matoke ya huko Same Mashariki watupe hapa jamani. Akina mama walikuwa wanachuana kule ni vipi?