Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Sep 2, 2025 #1 Wiki ijayo nitaanza mafunzo ya urubani wa ndege kwa muda wa miezi miwili katika chuo cha YouTube. Baada ya hiyo miwezi miwili, nitakuwa nimehitimu vizuri. Kwa hiyo ndugu zangu, wale wote wanaomiliki ndege, naombeni mnipatie ajira, maisha ni magumu mtaani.
Wiki ijayo nitaanza mafunzo ya urubani wa ndege kwa muda wa miezi miwili katika chuo cha YouTube. Baada ya hiyo miwezi miwili, nitakuwa nimehitimu vizuri. Kwa hiyo ndugu zangu, wale wote wanaomiliki ndege, naombeni mnipatie ajira, maisha ni magumu mtaani.
Tronics guru JF-Expert Member Joined May 19, 2016 Posts 7,924 Reaction score 7,395 Sep 2, 2025 #3 Ingia sportybet kuna Aviator /kindege
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Sep 2, 2025 Thread starter #4 Leejay49 said: Sawa Click to expand... Nashukuru sana, nina ufaulu wa daraja A
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Sep 2, 2025 Thread starter #5 Mchimba Chumvi said: Ingia sportybet kuna Aviator /kindege Click to expand... Nataka niwe napakia abiria kutoka moscow, dodoma, delhi n.k
Mchimba Chumvi said: Ingia sportybet kuna Aviator /kindege Click to expand... Nataka niwe napakia abiria kutoka moscow, dodoma, delhi n.k
issac77 JF-Expert Member Joined Apr 26, 2013 Posts 5,743 Reaction score 12,370 Sep 2, 2025 #6 Chuo Cha...??
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Sep 2, 2025 Thread starter #7 issac77 said: Chuo Cha...?? Click to expand... unataka niende chuo kipi mkuu?
Royal Son JF-Expert Member Joined Dec 22, 2016 Posts 1,472 Reaction score 2,768 Sep 2, 2025 #8 Una uhakika unatumia dawa kwa usahihi
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,585 Reaction score 105,449 Sep 2, 2025 #9 Juzikati kuna bibi mmoja alikua rubani wa ungo, aliangushia ndege kwenye anga la jela ya wanaume pale Kanegere Masumbwe...... kilicho tokea misijui..😜
Juzikati kuna bibi mmoja alikua rubani wa ungo, aliangushia ndege kwenye anga la jela ya wanaume pale Kanegere Masumbwe...... kilicho tokea misijui..😜
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Sep 2, 2025 Thread starter #10 Royal Son said: Una uhakika unatumia dawa kwa usahihi Click to expand... Mambo ya 'distance learning' mkuu, mbona wengi tu wanapata digrii zao kwa 'online' au ni geresha tu zile? Mimi nimeamua kujikita kwenye urubani tu.
Royal Son said: Una uhakika unatumia dawa kwa usahihi Click to expand... Mambo ya 'distance learning' mkuu, mbona wengi tu wanapata digrii zao kwa 'online' au ni geresha tu zile? Mimi nimeamua kujikita kwenye urubani tu.
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Sep 2, 2025 Thread starter #11 Ushimen said: Juzikati kuna bibi mmoja alikua rubani wa ungo, aliangushia ndege kwenye anga la jela ya wanaume pale Kanegere Masumbwe...... kilicho tokea misijui..😜 Click to expand... Huyo inawezekana akawa amesomea chuo kisichojulikana.
Ushimen said: Juzikati kuna bibi mmoja alikua rubani wa ungo, aliangushia ndege kwenye anga la jela ya wanaume pale Kanegere Masumbwe...... kilicho tokea misijui..😜 Click to expand... Huyo inawezekana akawa amesomea chuo kisichojulikana.
Royal Son JF-Expert Member Joined Dec 22, 2016 Posts 1,472 Reaction score 2,768 Sep 2, 2025 #12 Equation x said: Mambo ya 'distance learning' mkuu, mbona wengi tu wanapata digrii zao kwa 'online' Mimi nimeamua kujikita kwenye urubani tu. Click to expand... Kuna baadhi course lazima ufike chuoni mkuu
Equation x said: Mambo ya 'distance learning' mkuu, mbona wengi tu wanapata digrii zao kwa 'online' Mimi nimeamua kujikita kwenye urubani tu. Click to expand... Kuna baadhi course lazima ufike chuoni mkuu
maranguvillage JF-Expert Member Joined Sep 8, 2023 Posts 1,659 Reaction score 3,684 Sep 2, 2025 #13 Vizuri mkuu. Lakini usifikiri kuendesha ndege ni kama baiskeli unakanyaga pedeli safari inaanza
P Pluto thnker JF-Expert Member Joined Aug 25, 2024 Posts 273 Reaction score 499 Sep 2, 2025 #14 Mkuu ninakndege changu kwenye uofisa ubashiri wngu kila nkijalibu holaaa,.ntmie vyeti vyako nkuajili..
Mkuu ninakndege changu kwenye uofisa ubashiri wngu kila nkijalibu holaaa,.ntmie vyeti vyako nkuajili..
Cherecheche JF-Expert Member Joined Nov 16, 2024 Posts 4,780 Reaction score 9,149 Sep 2, 2025 #15 Njoo babu anayo
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Sep 2, 2025 Thread starter #16 Royal Son said: Kuna baadhi course lazima ufike chuoni mkuu Click to expand... Ndio maana, nyakati hizi tuna digrii nyingi ambazo hazizalishi chochote, ila kwenye makaratasi kuna ufaulu mzuri. Kupitia uzi huu, kama inawezekana, iwe ni sababu ya kufuta baadhi ya vyuo pamoja na fani zinazotolewa kwa mtandao ambazo hazizalishi chochote.
Royal Son said: Kuna baadhi course lazima ufike chuoni mkuu Click to expand... Ndio maana, nyakati hizi tuna digrii nyingi ambazo hazizalishi chochote, ila kwenye makaratasi kuna ufaulu mzuri. Kupitia uzi huu, kama inawezekana, iwe ni sababu ya kufuta baadhi ya vyuo pamoja na fani zinazotolewa kwa mtandao ambazo hazizalishi chochote.
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Sep 2, 2025 Thread starter #17 maranguvillage said: Vizuri mkuu. Lakini usifikiri kuendesha ndege ni kama baiskeli unakanyaga pedeli safari inaanza Click to expand... Acha zako wewe, mbona mjumbe wangu wa nyumba kumi amehitimu phd yake ya mambo ya jamii juzi kwa mtandao?
maranguvillage said: Vizuri mkuu. Lakini usifikiri kuendesha ndege ni kama baiskeli unakanyaga pedeli safari inaanza Click to expand... Acha zako wewe, mbona mjumbe wangu wa nyumba kumi amehitimu phd yake ya mambo ya jamii juzi kwa mtandao?
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Sep 2, 2025 Thread starter #18 Pluto thnker said: Mkuu ninakndege changu kwenye uofisa ubashiri wngu kila nkijalibu holaaa,.ntmie vyeti vyako nkuajili.. Click to expand... Nina ufaulu wa A mkuu
Pluto thnker said: Mkuu ninakndege changu kwenye uofisa ubashiri wngu kila nkijalibu holaaa,.ntmie vyeti vyako nkuajili.. Click to expand... Nina ufaulu wa A mkuu
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Sep 2, 2025 Thread starter #19 Cherecheche said: Njoo babu anayo Click to expand... Ebu niwekee kapicha nione kama ina gia boksi
maranguvillage JF-Expert Member Joined Sep 8, 2023 Posts 1,659 Reaction score 3,684 Sep 2, 2025 #20 Equation x said: Acha zako wewe, mbona mjumbe wangu wa nyumba kumi amehitimu phd yake ya mambo ya jamii juzi kwa mtandao? Click to expand... Kila la Kheri Mkuu
Equation x said: Acha zako wewe, mbona mjumbe wangu wa nyumba kumi amehitimu phd yake ya mambo ya jamii juzi kwa mtandao? Click to expand... Kila la Kheri Mkuu