Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,988
- 69,380
TBL ya wapi mkuu..Arusha Dsm Mbeya au??
TBL ya wapi mkuu..Arusha Dsm Mbeya au??
Karibu elnet africa LTD upaje ajira yako huna haja ya kuhangaika nichek wasap 0753901610Habarini tena humu ndani, nadhani hii sio mara ya kwanza kuandika uzi wa kuomba ajira katika jukwaa hili,,elimu yangu ni kidato cha nne,nimepitia mafunzo ya uhudumu kwa wateja(customer care &services).
Pia nina ujuzi wa kutumia kompyuta katika nyanja mbalimbali mfano,publisher, word,excel na nyinginezo,umri wangu ni miaka 25 jinsia ya kike kazi nilizowai kufanya ni,kuuza duka la nguo,salon ya kiume yaani kama muhudumu wa salon kama vile kufanya usafi,kuscrub.
Hivyo naomba mwenye kuweza kunipatia ajira ya kuweza kuni patia kipato kama vile kwenye,supermarket,maduka,betting center, salon,stationery (japo sina uzoefu ila niko tayr kujitolea hat kwa wiki moja au mbili ili niweze pat uzOefu zaidi)migahawani,kwenye hotel/ofisi nikiwa kama mapokezi,mfanya usafi maofisi au msaidizi wa ofisi(muandaa chai na kazi zingine)shukrani napatikana dar es salaam tabata kinyerezi.
Natanguliza shukrani
Kuwa mvumilivu na wew sasa daah..kwan wangap hawana ajira? Au your the best than others?? Sometimes silent explain more than words.msinisahau wanajf..bado sijafanikiwa,nipo tayr kujitolea hata kwa kazi ambayo sina uzoefu nayo walau mwezi mzima,baada ya hapo kama utaona nafaa kuajiriwa basi tutafanya makubaliano.
Akuchek wasap Mara ntumie picha Mara leta CV Mara panua paja mkwaju wajaaaa shaaaaKaribu elnet africa LTD upaje ajira yako huna haja ya kuhangaika nichek wasap 0753901610
Sent using Jamii Forums mobile app
Nivizuri kutoa Tangazo Dada yangu aliomba kwa msisitizo hivyo wakuu wanataka kumsaidia ww unarukia sorry mwache Dada yetu apate nawe kama ushatoa Tangazo rudia tena kuandika mkuuu
Marital stutus jeHabarini tena humu ndani, nadhani hii sio mara ya kwanza kuandika uzi wa kuomba ajira katika jukwaa hili,,elimu yangu ni kidato cha nne,nimepitia mafunzo ya uhudumu kwa wateja(customer care &services).
Pia nina ujuzi wa kutumia kompyuta katika nyanja mbalimbali mfano,publisher, word,excel na nyinginezo,umri wangu ni miaka 25 jinsia ya kike kazi nilizowai kufanya ni,kuuza duka la nguo,salon ya kiume yaani kama muhudumu wa salon kama vile kufanya usafi,kuscrub.
Hivyo naomba mwenye kuweza kunipatia ajira ya kuweza kuni patia kipato kama vile kwenye,supermarket,maduka,betting center, salon,stationery (japo sina uzoefu ila niko tayr kujitolea hat kwa wiki moja au mbili ili niweze pat uzOefu zaidi)migahawani,kwenye hotel/ofisi nikiwa kama mapokezi,mfanya usafi maofisi au msaidizi wa ofisi(muandaa chai na kazi zingine)shukrani napatikana dar es salaam tabata kinyerezi.
Natanguliza shukrani