Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,203
Aisee 😀Huyo kashaijua mikuyenge hawezi soma tena trust me,atafute bwana tu azae alee si anapenda kuukali,aolewe awe na jukumu la maza house.
Aisee 😀Huyo kashaijua mikuyenge hawezi soma tena trust me,atafute bwana tu azae alee si anapenda kuukali,aolewe awe na jukumu la maza house.
Ndo ukwel vibinti vikishaanza mbwato akil zinapotea,hata akimpeleka shule anapoteza hela yake tuAisee [emoji3]
Nakumbuka huu ushauri niliwahi mshauri dada yangu matokea yake alijuta baadae, mtoto akishajua utamu hawezekani mbaya zaidi akiwa na akili za kubahatisha darasani.Ndo ukwel vibinti vikishaanza mbwato akil zinapotea,hata akimpeleka shule anapoteza hela yake tu
Ndo hivyo,na bila Shaka atakuwa wale washika mkia darasan,amuoze ama amfungulie genge tuNakumbuka huu ushauri niliwahi mshauri dada yangu matokea yake alijuta baadae, mtoto akishajua utamu haiwezekani mbaya zaidi akiwa na akili za kubahatisha darasani.
Darasan sina shida anajiweza ila uku upnde wa pili kanichosha ,kumpiga siwezi na kusoma labda apate t mkopoNakumbuka huu ushauri niliwahi mshauri dada yangu matokea yake alijuta baadae, mtoto akishajua utamu hawezekani mbaya zaidi akiwa na akili za kubahatisha darasani.
Mpe nafasi kwa mara nyingine hiko Kiumbe asitoe na asijaribu, Namuombea ajifungue Salama ili ndoto zake ziendelee.Darasan sina shida anajiweza ila uku upnde wa pili kanichosha ,kumpiga siwezi na kusoma labda apate t mkopo
Huyo hawezi soma,msitoe hiyo mimba mwache azae apate jukumu la ulezi huenda akapata akil japo kidogoDarasan sina shida anajiweza ila uku upnde wa pili kanichosha ,kumpiga siwezi na kusoma labda apate t mkopo
Hujanielewa mkuu mimba isitolewe kama binti ana nia ya shule, na darasani yuko vizuri apewe nafasi ajifungue alee mtoto wake akishafika umri anaweza muachia mtu aendelee na masomo yake.Huyo hawezi soma,msitoe hiyo mimba mwache azae apate jukumu la ulezi huenda akapata akil japo kidogo
Kaomba ushauri ndio nataka nimtumie
@Zero IQ hujakosea upo sawa kabisaTuma namba yako ya tigo pesa nikutumie
IdiotKaomba ushauri ndio nataka nimtumie
Nyie si ndio mlikuwa mnapingana na magufuli kuhusu kurudisha shule mabinti waliozaa?Huyo kashaijua mikuyenge hawezi soma tena trust me,atafute bwana tu azae alee si anapenda kuukali,aolewe awe na jukumu la maza house.