kwanza jifunze kuandika kiswahili vizuri vitu vinavyoelewekaHivi ni kwa nini mwanafunzi mwenye ufahulu wa pass 4 yaani DDDD,ana option ya kwenda chuo,lakin mwenye ufahulu wa Credit 3 yaani CCC ambazo zimebalance comb ana kibali cha kwenda advance ila kwenda chuo hana kibali? Hii imekaaje?
Chuo Gani ?Hivi ni kwa nini mwanafunzi mwenye ufahulu wa pass 4 yaani DDDD,ana option ya kwenda chuo,lakin mwenye ufahulu wa Credit 3 yaani CCC ambazo zimebalance comb ana kibali cha kwenda advance ila kwenda chuo hana kibali? Hii imekaaje?