kuroot ni kitendo cha ku restore simu ili uwe na mamlaka kama ya developer wa simu...lengo kubwa la kuroot ni pale ambapo baadhi ya vitu vinasumbua kufunguka mpaka uwe na developer permissions.Kuroot ni tendo gani hilo...!
Tupe elimu kidogo..
mkuu kuroot simu za tecno mara nyingi inapelekeaga kuziharibu....inakua ukiwasha inaanza kuoptimize application zote za sim na ina weza kuchukua hata dakika 5 kuwasha tu simu yakoHabari za mchana wana jamvi. Naomba kujuzwa ipi ni njia nziri kwaajili ya kuroot simu ya Tecno c7
Nadhani ni sawa na Kui-restore (factory restore) Simu yako...!kuroot ni kitendo cha ku restore simu ili uwe na mamlaka kama ya developer wa simu...lengo kubwa la kuroot ni pale ambapo baadhi ya vitu vinasumbua kufunguka mpaka uwe na developer permissions.

Ni ku factory restore sema factory restore inaianzisha simu inakua kama ulivoinunua mpya ila kuroot unamuondolea mamlaka kabisa aliyeitengeneza hiyo simu na kujipa ww mwenyeweNadhani ni sawa na Kui-restore (factory restore) Simu yako...!
Nashukuru kwa kunipa Elimu Mkuu..![]()
![]()
Unamaanisha ni Simu (android) zote zina hiyo Option (rooting)...!!?Ni ku factory restore sema factory restore inaianzisha simu inakua kama ulivoinunua mpya ila kuroot unamuondolea mamlaka kabisa aliyeitengeneza hiyo simu na kujipa ww mwenyewe
Android zote unaweza kuziroot sema Tecno mara nyingi zinasumbua kuzirootUnamaanisha ni Simu (android) zote zina hiyo Option (rooting)...!!?
Android zote unaweza kuziroot sema Tecno mara nyingi zinasumbua kuziroot
pamoja Mkuu...KingoRoot APK Download | KingoRoot for AndroidOk. Naomba mwenye link ya Kingroot maana naona zikonyingi kwenye google
Haiwezekan mkuuSimu ya android ukiiroot unaweza kuirudisha tena kama mwanzo kabla ya kuiroot
Aaaa haya ahsanteHaiwezekan mkuu