lusanasaimon
Senior Member
- Jan 19, 2023
- 108
- 264
Kama dawa kama kawa. niende kwenye swali bila kupoteza muda kwa wajuvi au ambao wamesha kutana na hili.
Hivi wanawake wanamaanisha nini pale unapokua nae kwenye mahusiano anakuona jau (fala) halafu ukimpiga chini (ukimtema) kabla hata mwezi haujaisha anaanza kukusumbua hata kwa kukununulia vizawadi, au kwakujiliza kwamba umsamehe mrudiane?
Hivi wanawake wanamaanisha nini pale unapokua nae kwenye mahusiano anakuona jau (fala) halafu ukimpiga chini (ukimtema) kabla hata mwezi haujaisha anaanza kukusumbua hata kwa kukununulia vizawadi, au kwakujiliza kwamba umsamehe mrudiane?
