kopo la chumvi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 256
- 459
Polee sana na kazi wakuu
Naomba ushauri
Mimi nimesomea ualimu ngazi ya cheti daraja la IIIA,,Sasa ni mwaka wa nne tangu nihitimu
Je ni diploma gani au course gani naweza kusoma kwa kutumia cheti cha ualimu ndani ya fani hiyohiyo ? Msaada tafadhali asantee sana
Naomba ushauri
Mimi nimesomea ualimu ngazi ya cheti daraja la IIIA,,Sasa ni mwaka wa nne tangu nihitimu
Je ni diploma gani au course gani naweza kusoma kwa kutumia cheti cha ualimu ndani ya fani hiyohiyo ? Msaada tafadhali asantee sana