Naomba Ushauri

Naomba Ushauri

Aiseee! Bora umejua ndugu! Lea mwanao na nakuambia kuna aliye kwa ajili yako anakuja! Nilishakutana na situation hii ila nilijiambia good to goooooo! Na niligoo kweli hadi sasa niko kwenye ndoa ya aman na Upendo halafu alivo kichaa et akaanza kunitafta adai turudiane nilimtoaje baruuuu! Hadi sasa miaka 5 imepita ypo tuu anatoa macho mtaan! Wanaume bwana sijui wana nini et! Fanya maamuz magumu ya kumsahau japo c rahisi ila inawezekana

Hapa umesaidia wengi bila kujua na utakuwa role model wa wengi. Kuzaa sio mwisho wa maisha.
 
Usikae ukitumai atabadilika,he will never change. Naungana na mjasiria2mbo move on dada,maisha hayaishii hapo. Ila utafanya kosa kubwa sana ukaanza kutafuta mwanaume wa 'kukuliwaza' atakuchafua utazidi kujiona looser.... Tulia mwanaume wako wa maisha yuko njiani.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom