Justin justwizz
Member
- Mar 1, 2013
- 13
- 0
Habar zenu wna jf naomben ushaur kwa jambo hili. Nilikuwa ninamchumba ambaye 2lipendana xana yn nilimpenda kwa dhati lkn mwisho wacku akanipgia cmu akaniambia niachane naye bt ckumkosea ki2. Mm niliachana naye kama alivyo xema nikaamua kukaa bila mchumba.kma mnavyojua wna jf maisha nikutafuta.Mwezi 2 mwaka 2013 nilikutana na dada mmoja ambaye 2likaa chini 2kaelezana kilam2 hcia zke kwa mwenzake. Huyu mchumba 2napendana xana na2meahidiana meng na anampango mzuri na mm wamaisha. Chakushangaza leo ylemchumba wngu wa zmani ananipgia cmu eti nimsamehe na anataka 2funge ndoa. Sasa wana jf hebu nixaidien kwamba nifanyaje na ukizingatia ninamchumba ambaye2napendana xana.