Naomba ushauri

Naomba ushauri

Joined
Mar 1, 2013
Posts
13
Reaction score
0
Habar zenu wna jf naomben ushaur kwa jambo hili. Nilikuwa ninamchumba ambaye 2lipendana xana yn nilimpenda kwa dhati lkn mwisho wacku akanipgia cmu akaniambia niachane naye bt ckumkosea ki2. Mm niliachana naye kama alivyo xema nikaamua kukaa bila mchumba.kma mnavyojua wna jf maisha nikutafuta.Mwezi 2 mwaka 2013 nilikutana na dada mmoja ambaye 2likaa chini 2kaelezana kilam2 hcia zke kwa mwenzake. Huyu mchumba 2napendana xana na2meahidiana meng na anampango mzuri na mm wamaisha. Chakushangaza leo ylemchumba wngu wa zmani ananipgia cmu eti nimsamehe na anataka 2funge ndoa. Sasa wana jf hebu nixaidien kwamba nifanyaje na ukizingatia ninamchumba ambaye2napendana xana.
 
Sasa kama unaye unaempenda sana, unauliza kama umuache? Ina maana yule aliekuach bado nae unampenda sana??
 
huyo sio wa kuoa bwana achana nae kabisa ila fanya kitu kimoja...muombe tigo alafu mbwage
 
habar zenu wna jf naomben ushaur kwa jambo hili. Nilikuwa ninamchumba ambaye 2lipendana xana yn nilimpenda kwa dhati lkn mwisho wacku akanipgia cmu akaniambia niachane naye bt ckumkosea ki2. Mm niliachana naye kama alivyo xema nikaamua kukaa bila mchumba.kma mnavyojua wna jf maisha nikutafuta.mwezi 2 mwaka 2013 nilikutana na dada mmoja ambaye 2likaa chini 2kaelezana kilam2 hcia zke kwa mwenzake. Huyu mchumba 2napendana xana na2meahidiana meng na anampango mzuri na mm wamaisha. Chakushangaza leo ylemchumba wngu wa zmani ananipgia cmu eti nimsamehe na anataka 2funge ndoa. Sasa wana jf hebu nixaidien kwamba nifanyaje na ukizingatia ninamchumba ambaye2napendana xana.

narudi muda si mrefu
 
Na kushauri kwanza jaribu kujifunza kuandika vizuri hili kila mtu aelewa hata mzee pengine ufanye editing mapema hili usije ukakosa ushauri ukaambulia kufundishwa jinsi ya kuandika!
S =x ?
S=c ?

Back to topic
wewe unajua kabisa ni yupi unampenda, hapa unatafuta justification tuu!
Ni vyema ukajiuliza kwa nini alikuacha bila sababu?
Je hawezi kukuacha tena bila sababu?
Ukijiuliza hayo maswali utapata jibu! Hii tabia ya kula matapishi yenu ndio inafanya kila siku mnalia jukwaani?
Mimi nina principle yakuto kula matapishi yangu sijui weye!


Habar zenu wna jf naomben ushaur kwa jambo hili. Nilikuwa ninamchumba ambaye 2lipendana xana yn nilimpenda kwa dhati lkn mwisho wacku akanipgia cmu akaniambia niachane naye bt ckumkosea ki2. Mm niliachana naye kama alivyo xema nikaamua kukaa bila mchumba.kma mnavyojua wna jf maisha nikutafuta.Mwezi 2 mwaka 2013 nilikutana na dada mmoja ambaye 2likaa chini 2kaelezana kilam2 hcia zke kwa mwenzake. Huyu mchumba 2napendana xana na2meahidiana meng na anampango mzuri na mm wamaisha. Chakushangaza leo ylemchumba wngu wa zmani ananipgia cmu eti nimsamehe na anataka 2funge ndoa. Sasa wana jf hebu nixaidien kwamba nifanyaje na ukizingatia ninamchumba ambaye2napendana xana.
 
Back
Top Bottom