Na kushauri kwanza jaribu kujifunza kuandika vizuri hili kila mtu aelewa hata mzee pengine ufanye editing mapema hili usije ukakosa ushauri ukaambulia kufundishwa jinsi ya kuandika!
S =x ?
S=c ?
Back to topic
wewe unajua kabisa ni yupi unampenda, hapa unatafuta justification tuu!
Ni vyema ukajiuliza kwa nini alikuacha bila sababu?
Je hawezi kukuacha tena bila sababu?
Ukijiuliza hayo maswali utapata jibu! Hii tabia ya kula matapishi yenu ndio inafanya kila siku mnalia jukwaani?
Mimi nina principle yakuto kula matapishi yangu sijui weye!