HI JF! kuna bint Mmoja 2likutana kwa mara ya kwanza 2kiwa mm 6yrs na yy 5yrs.Nimezaliwa 11/8 na yy 12/8 mwaka mmoja badae.wen 2lipokuwa kids ckuwah kupata hisia za lov ju yk.2lisoma p"mary na olevel shule moja. nilipofika 4m3 hisia juu yk zikarise lkn ckumwambia mpaka 2lipofika 4m six ndo nikamseduce kw kumremind enz z utoto.Akaniambia ana mpenz ila nimpe mda afikilie.baada ya ck 3 akanipa jb la kukubali ila akaniomba nimpe mdamiez 3 ndo anipe jb kamili kesho yk nikamuuliza kuhus yl mpenz akasema "km vp 2potezee" kumuuliza sababu akanijib kw sms 'Cna mda mref tangu 2meachana na bd niko in lov with hm ndo maana nilikwambia ninae' bac nikawa confused.Uson huwa ana sign nyeuc ambayo inafanana na niliyonayo ktk mguu wang bac tang utotoni nikiiona 2 nankumbuka yy.Ukiangalia 2nafanana size,urefu na ht uwezo w kiakili class.Mpaka leo mwez 4 2ko best friends.SS NAOMBA USHAURI NIENDELEE HV LABDA ATACHANGE UAMZI,NI2PE KETE TENA AU NIFANYEJE?.NIMEJARIBU KUACHANA NAE ILA NIMESHINDWA.