Naomba ushauri

Hayo maswali unayojiuliza ni maswali gani,...kama anakupenda? ana ugonjwa wa kuambukiza au nini? hujasema
 
fanya hivii,

usiyawaze mapenzi wala usiyazungumzie sana kwenye simu au chats... siku ukiwa na hamu muite mpenzi wako kwa kumstukiza akifika story zisiwe nyingi ni kumrukia tu na akiwepo karibu yako usiwaze sana wewe anza kumvamia na touch za hapa na pale unazama mchezoni
 
Kwa ulivyoandika na jina ulilojipa ni wazi unaongelea mapenzi ya jinsia moja.Neno "mtu' usingelitumia kama ungekua unaongelea mwanamke.

Anakulazimisha basha wako.
Hisia zinakata sbb deep down unajua kabisa unachofanya si sahihi na bado hujawa mzoefu.

Ukifikiria namna mama/baba/ndugu zako wataumia siku wakijua unafanywa lazima hisia zikate.

Hopefully siko sahihi na kama niko sahihi basi hiyo hali ya kujisikia kumchukia huyo mtu ni Mungu anajaribu kukutoa huko na itafurahisha kama utatoka huko kabla wazazi wako hawajajua.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…