Naomba Ushauri

Naomba Ushauri

enigma12

Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
18
Reaction score
9
Habari wakuu,mimi ninachangamoto moja,hapa majuzi niliumwa nikaenda hospital nikakutwa nina UTI kali na maralia nikachoma powersafe na pia nikanywa mseto

Baada ya muda nikaanza kusikia tena hali ya kuumwa nikapima nikaambiwa UTI haijaisha nikanywa azuma kwa siku 6 nimemaliza siku moja imepita sasa still kichwa hasa hapa kwenye kipandauso na pia fizi kama zinauma.. itakuwa nn
 
Mkuu nauliza nijue tu,

Hivi mtu akiambiwa "Kunywa maji mengi" hua ina maanisha anywe maji beyond his capacity? Au hayo maji mengi huanzia lita ngapi?
Watu wengi tunakunywa maji kiasi kidogo sana chini ya lita 2 kwa siku.
Tukisema kunywa maji mengi ni zaidi ya lita 2 kwa kutwa moja.
Kunywa maji hata kama husikii kiu,maji ni tiba nzuri sana katika mwili wa binadamu.
 
Habari wakuu,mimi ninachangamoto moja,hapa majuzi niliumwa nikaenda hospital nikakutwa nina UTI kali na maralia nikachoma powersafe na pia nikanywa mseto

Baada ya muda nikaanza kusikia tena hali ya kuumwa nikapima nikaambiwa UTI haijaisha nikanywa azuma kwa siku 6 nimemaliza siku moja imepita sasa still kichwa hasa hapa kwenye kipandauso na pia fizi kama zinauma.. itakuwa nn
Sio UTI nenda hospital ambazo si za kibiashara utakutana na maajabu
 
Wanashauri uti ikiwa kali jitahidi ukapime na mwenza wako kwa sababu unaweza kujitibu kumbe mwenzako anayo.Pia kunywa maji mengi
 
Back
Top Bottom