Naomba ushauri

Naomba ushauri

Huyo sio wa kwanza ww kumpenda, Endelea na Maisha yako... Chaaaah!
 
Mm ni kijana nimetokea kumpenda binti nikamweleza haja yangu akanieea tukawa wachumba, baada ya mwezi 1 akanitumia sms anadai ameshindwa kuwa na mm hivyo nichukue time, ila mm nampenda sana na roho inaniuma sana nifanyeje wapendwa
Roho ikikuuma wewe kunywa Gongo itaponaa
 
Ha ha ha ha,pole mkuu,ameona utamchelewesha kwenye ndoto zake.
 
Duuu, umemweleza hisia zako ,akakubali mkawa wachumba!! Hata mwezi haujaisha Mara akasema hakutaki.Ndo maana kakwambia hivo maana amepata mashaka na afya yako ya akili.Hofu yake hata siku ukimpa ujauzito hapo hapo utadai mtoto.
 
aisee...! unamkubali demu kiasi iko kwa kushare nae mda mfupi hivo ww achana nae kama asemavyo coz ukimlazimisha anaweza kubali na akakuumiza zaidi usifanye moyo wako kuwa mzaifu hivo mcrush tu
 
Yaani hapo tu bado unataka ushauri?

Mbeleni utajinyonga bure.

"Muachee eeh, aende zake,
Amfateeee mpenzi wake"

By Suma Lee.
 
Mm ni kijana nimetokea kumpenda binti nikamweleza haja yangu akanieea tukawa wachumba, baada ya mwezi 1 akanitumia sms anadai ameshindwa kuwa na mm hivyo nichukue time, ila mm nampenda sana na roho inaniuma sana nifanyeje wapendwa
Ndo chukua sasa unasubiri nini
 
Huku kwetu wanauza kamba ngumu sana tena kwa bei rahisi tu
 
wadau hapo juu wamekushauri vyema ila me naongezea tuu kwamba usisahau kumpigia nyeto kila umuonapo.
 
Unaweza ukawa shambani, nabado ukafa kwa njaa.. | kwahio moshi wa ubani hauwezi fuka kama wamshumaa...
 
Back
Top Bottom