Naomba ushauri wenu wanaJF

Naomba ushauri wenu wanaJF

makosahittu

Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
17
Reaction score
14
Hi! Mimi ni miongoni mwa wanaosubiria ajira ya ualimu mwaka huu. Lakini nilifanya application ya kufundisha MIEZI 3 nyuma katika shule ya private.

Juzi tu nimeitwa nimeambiwa napewa mkataba kuanzia miaka miwili. Lakini niliulizwa Swali ambalo nimeshindwa kujibu na nimepewa muda nijibu , wameniuliza ikitokea Serikali ikatoa ajira ya ualimu mwezi huu au ujao. nitabaki au nitaenda serikalini? wameniahidi mshara unaozidi kiasi kidogo na ule wa serikalini, nitapewa nyumba ya kuishi .

NAOMBA USHAURI MANA KUNA WATU WAMENITISHA KWAMBA PRIVATE HAKUNAGA JOB SECURITY na ikitokea umepishana kauli na mkuu wa shule basi nitapoteza ajira yangu. NAOGOPA KUFANYA MAAMUZI YA KUKURUPUKA!!!
Nahitaji mchango wenu wa mawazo.
 
Kikubwa Fanya Mkataba Kwenye Karatasi Sio Mkataba Wa Mdomoni Ikitokea Figisu Figisu Mkataba Utajieleza
 
Hi! Mimi ni miongoni mwa wanaosubiria ajira ya ualimu mwaka huu. Lakini nilifanya application ya kufundisha MIEZI 3 nyuma katika shule ya private. Juzi tu nimeitwa nimeambiwa napewa mkataba kuanzia miaka miwili. Lakini niliulizwa Swali ambalo nimeshindwa kujibu na nimepewa muda nijibu , wameniuliza ikitokea serikali ikatoa ajira ya ualimu mwezi huu au ujao. nitabaki au nitaenda serikalini? wameniahidi mshara unaozidi kiasi kidogo na ule wa serikalini, nitapewa nyumba ya kuishi .
NAOMBA USHAURI MANA KUNA WATU WAMENITISHA KWAMBA PRIVATE HAKUNAGA JOB SECURITY na ikitokea umepishana kauli na mkuu wa shule basi nitapoteza ajira yangu. NAOGOPA KUFANYA MAAMUZI YA KUKURUPUKA!!!
Nahitaji mchango wenu wa mawazo.
apo uwe na mkataba unaoeleweka na pia kuhusu kutokea cjui nn ukafukuzwa mkataba utakulinda pia ayo uctegemee yatatokea kama utakua unaheshimu na kufanya sawa na makubaliano ya mkataba
mwisho wa siku unaitaji mshahara mrefu we piga kazi kama ni serikalini utaweza kuapply ata uo mkataba ukija kuisha kama ikishindikana kuuongeza

tia sign private ndugu
 
Saini tu huo mkataba na waambie ajira zikitoka utabaki kwao, ajira zikitoka unatimua zako bila kuaga, hakuna atayepoteza muda kukutafuta na kukufuata kwenye post yako ya serikalini
 
Mhusishe mwanasheria katika hili swala ili hata huo mkataba uzingatie vigezo pia ukuwekee get out clause.
 
Back
Top Bottom