Naomba ushauri wako katika hili.

Naomba ushauri wako katika hili.

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,652
Reaction score
5,133
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo fulani nchini tanzania(government institution).

Nimebahatika kupata fedha kutoka serikali za kunisaidia katika maswal yangu ya kielimu kwa hilo nashukuru ila kichwani nna mipango mingi ambayo nahitaji niifanye siku za usoni lakin nahisi muda unanipa shida.

Nataka kujihisha kufanya biashara tofauti mfano kufungua duka la uwakal wa mitandao ya simu, duka la vyakula lakin tatizo ni muda na jinsi gani naweza kuliendesha hili suala bila ya kupata hasara mfano ukimuachia mtu anaweza akawa ananiongopea juu ya mapato au kuniibia kiujumla na hili jambo nataka nilitaka niliendeshe kisiri i mean home wasijue mpaka miaka 2 mbele kwa sababu zangu maalumu.

Kutokana na hali hii naomba munipe msaada wa kimawazo ili kuweza kutimiza matarajio yangu.
 
Soma kwanza....bado miaka miwili au mitatu umalize....utafafanya mishe zako badae...mm nlikuwa kama ww....nmemaliza chuo sshv npo huru nafanya mambo zang
 
Hii mada yako omba mod waipeleke uchumi na biashara

Kufungua biashara na kumwachia mtu no hasara taslimu

Unacho takiwa kufanya endelea kukusanya hela mpaka utakapo kuwa na nanafasi ya kusimamia
 
UMEPEWA HELA ZIKUSAIDIE KWENYE MASOMO UNAFANYIA BIASHARA?? KILA LA HERI
 
nitatofautiana na wachangiaji wengine hapo juu....

as long as unao mtaji, si vibaya ukaamua kufanya biashara huku unasoma.....

nakushauri yafuatayo;
.fanya utafiti changamoto na faida za biashara utakayofungua
.tatufa eneo/frem kulingana na mtaji wako
.fungua biashara kipindi cha likizo ili mwanzo uwe unakaa mwenyewe, baadae ukija kumweka mtu walau utakuwa unajua ABCD za biashara yako, hata kuongopea sana
.kipindi hiki biashara ni ngumu sana, usimwamini mtu kizembe, ndugu nao pasua kicha, usimamizi unatakiwa uwe mkubwa sana.

akili kumkichwa, all the best
 
Back
Top Bottom