Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 372
- 119
Nina mpango wa kuwa mjasilia mali wa kilimo cha viazi (irish potatoes) Mkoa wa Njombe. Nikiwa aktika jitihada za kutafuta mtaji marafiki walinishauri nitengeneze mpango kazi (project plan) halafu nitumie kuomba mkopo kenye taasisi za kifedha. Baada ya kutengeneza na kuchanganua matumizi ya pesa, yafuatayo niliambiwa kufanya ili kupata mkopo huo.
1. Niwe na mali ambayo naweza kuthaminisha kwa mkopo km vile nyumba, gari, kiwanja.
2. Nitafute wadhamini 2
3. Niwe na mwenzangu wa mradi huo. yaani nisiwe peke yangu.
4. Nitafute walao kianzio kisichopungua 100,000/=
Sasa vigezo hivi vinanipa wakati mgumu kutekeleza hasa mali ya kuthaminisha pamoja na kianzio. Mimi ni mgeni njombe ila nilipata bahati ya kutembelea maeneo fulani vijijini na kuona mashamba mengi sana na nikaambiwa naweza kuyakodi na kufanyia shughuli hiyo. na kwa upande wa soko la viazi ni zuri tu hasa miezi ya 8,9 na 10. Hapo ndipo nilianzampango hilo la ujasiria mali.
Ushauri ninaouomba kutoka kwako ni
1. kama unafahamu taasisi ya kutoa mikopo kwa riba na mashart nafuu hasa iliyojirani na njombe
2. Km mdau wa Njombe ulikuwa na wazo hilo, ukiwa tiyari tuuungane tufanye mpango huu au kwa yoyote anayehisi tuungane.
3 Mdau yoyote anayeweza kunisaidi kwa ushauri zaidi na kunikopesha kiazio au ushauri juu ya kianzio hicho
kwa mawasiliano zaidi 0783757008.
Asante
1. Niwe na mali ambayo naweza kuthaminisha kwa mkopo km vile nyumba, gari, kiwanja.
2. Nitafute wadhamini 2
3. Niwe na mwenzangu wa mradi huo. yaani nisiwe peke yangu.
4. Nitafute walao kianzio kisichopungua 100,000/=
Sasa vigezo hivi vinanipa wakati mgumu kutekeleza hasa mali ya kuthaminisha pamoja na kianzio. Mimi ni mgeni njombe ila nilipata bahati ya kutembelea maeneo fulani vijijini na kuona mashamba mengi sana na nikaambiwa naweza kuyakodi na kufanyia shughuli hiyo. na kwa upande wa soko la viazi ni zuri tu hasa miezi ya 8,9 na 10. Hapo ndipo nilianzampango hilo la ujasiria mali.
Ushauri ninaouomba kutoka kwako ni
1. kama unafahamu taasisi ya kutoa mikopo kwa riba na mashart nafuu hasa iliyojirani na njombe
2. Km mdau wa Njombe ulikuwa na wazo hilo, ukiwa tiyari tuuungane tufanye mpango huu au kwa yoyote anayehisi tuungane.
3 Mdau yoyote anayeweza kunisaidi kwa ushauri zaidi na kunikopesha kiazio au ushauri juu ya kianzio hicho
kwa mawasiliano zaidi 0783757008.
Asante