Nitanunua plastic chakavu kwenye vijiwe na kusaga kutoa vipande vipande na kuuza kwenye masoko ya hapa hapa au Kenya maana kote nilishafika kulinganisha bei kwa hiyo nilichokosa pesa ya godauni na malighafi lakini nina uzoefu wa biashara ya takarejea. Hata kwa dhamana nitaweka eneo langu ilimradi uaminifu tu maana napoteza muda wa biashara au mnanishauri nini?